GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,383
- 108,443
Swali Namba Moja.
Hivi ni lazima kila ‘Spymaster ‘ akistaafu au akitumbuliwa Kazini ateuliwe kuwa Balozi?
Swali Namba Mbili
Kama bado huwa hatujui Vituo vya Kazi vya Mabalozi Wateuliwa kwanini huwa tunaanza Kuwatangaza?
Nayasubiri majibu yenu kwa hamu zote Wana Ndugu wa JamiiForums.
Hivi ni lazima kila ‘Spymaster ‘ akistaafu au akitumbuliwa Kazini ateuliwe kuwa Balozi?
Swali Namba Mbili
Kama bado huwa hatujui Vituo vya Kazi vya Mabalozi Wateuliwa kwanini huwa tunaanza Kuwatangaza?
Nayasubiri majibu yenu kwa hamu zote Wana Ndugu wa JamiiForums.