Nikija kusikia kuwa chenge/lowasa amekuwa spika wa bunge kama wengi wanavyotabiri basi nitakuwa wa kwanza kuhamasisha maandamano ya nchi nzima ya amani au yasiyo ya amani........nikishindwa kabisakwa sababu ya watz tulivyo basi nitahama nchi...
Nikija kusikia kuwa chenge/lowasa amekuwa spika wa bunge kama wengi wanavyotabiri basi nitakuwa wa kwanza kuhamasisha maandamano ya nchi nzima ya amani au yasiyo ya amani........nikishindwa kabisakwa sababu ya watz tulivyo basi nitahama nchi...
J79 mie nilifikiria wewe ni mvumilivu wa kula mbivu! Hapa hakimbii mtu mpaka kieleweke, tuko pamoja mkuu!tutafight ktk ardhi waliotuachia mababu mpaka mwishooooo!!:A S-devil1::fencing:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.