Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Nenda pale geti la kuingia soko kuu kwenye kona kuna wamama watu wazima wanauza chumvi ya mawe na magadi nunua kiasi nenda ukaogee uondoe gundu.
Mimi ni kijana wa miaka 25 kiukweli toka nimekuwa mtu mzima mpaka leo sijawahi kudumu kwenye mahusiano japo kwa miezi miwili mi mara nyingi ni mwezi mmoja then nakula kibuti cha haja hichi kitendo kwa kweli kinanipa wakati mgumu na kinanifanya nisijiamini kabisa coz nikishaingia kwenye mahusiano basi naanza kuwa na hofu basi najitahidi kumtreat mpenz wangu vzr ili yasitokee yaliopita lakini bado unakuja kumwagwa sasa sijui shida ni nini?
Maana muenokano wangu c mbaya na napendwa hatari shida ni kuwa nikiingia tu kwenye mahusiano hata na hao wanaoonyesha kunipenda bac ni mwezi mmoja mapenzi yanakufa kitabia ni kijana mpole, mstaarabu na mnyenyekevu.
Sasa sijui huwa nakosea wapi au ni mkosi mwezi uliopita nilijitahidi nikapata mtoto mmoja mzuri sana ila juzi tu tayari nimemwagwa et kisa niliahidiwa kiss na hugging bac mi nikapitiliza nikashika mpaka mbunye kuamka asubuhi nakuta tayari nimemwagwa na nishakula block ya nguvu kuja kumuuliza kisa naambiwa nilivunja masharti yani niligusa sehem ambazo sikuahidiwa.
Hakika ninaumia sana sijui tatzo langu huwa ni lipi mpaka kuna kipindi nilijiona sina thamani nkawa napiga nyeto tu kwa miaka kadhaa maana mahusiano kwangu yashakuwa magumu ila baadae niliamua kuacha.
Nakumbuka kipindi flani nyuma nilibahatika kuwa na mahusiano na mtoto mmoja wa uswahilini siku moja tupo gheto aliniambia kauli moja KUWA KAMA MWANAUME mpaka leo hii kauli huwa naitafakari sana nae hatukudumu coz alienda kugawa namba yangu kwa muhuni mmoja wa huko uswahilini akaanza kunitishia maisha siku nilikuja kuwafuma mshikaji ni choka mbaya hatari lakini bado kaweza kuniangusha hapo ndio nikaamini nina tatzo mahali na kuna kipindi aliniomba tishet zangu nikampa nayeye akaenda kuumpa huyo muhuni wake hakika niliumia sana sifa zangu huwa ni mpole sana na pia kitendo cha kutodumu kwenye mahusiano kimenifanya nisijiamini kabisa.
Hii kitu imeniathiri sana kisaikolojia napoona watu na wapenzi wao huwa najuuliza sana kasoro yangu mimi ni ipi maana nikitongoza nakubaliwa ila baada ya hapo ni kumwagwa.
Naamini hapa jf ni mahala sahihi pa kupata suluhisho la tatizo langu naombeni msaada wa mawazo yenu ili niondokane na tatzo hili. Kiukweli hali ni mbaya nahitaji msaada. Note mimi ni msafi sana tena mtanashati
Ss shida unafikiri ni nn? Ww kama ww kwanza unadhani inaweza kuwa nn? Ww unajifahamu kuliko mwingine yeyote.Hata miguu sinuki
big up johUkikutana na mwanamke kwa mara ya kwanza ukamkaza vizuri kabisa, lazima atarudi.
Jichunguze kwenye kukaza uwezo wako uko vp. (Tendo la ndoa)
Mwanamke huwa anavutiwa kutokana na kile anachokisikia, huwa ni story gani unazopiga na mpenzi wako mara nyingi? Kuna story za kufurahisha, kufikirisha na kustaajabisha, jua namna ya kuzichanganya hizi, yaani isiwe masaa yote mkikutana mnaongelea mapenzi tu na akuzoee hivyo. Hapana. Jaribu kuwa flexible yaani muda flani msifie, mda flani ongelea maisha future yako na mengine serous kidogo yaani jua kuzibalance hizo story.
Usiruhusu mwanamke kuuelewa udhaifu wako kabla ya wewe kugundua. Yaani jielewe na ujue udhaifu wako na wapi upo vizuri kisha ishi naye pasipo kuruhusu kukusoma na kukuelewa kwa asilimia mia. Yaani usimpe mwanamke chance mapema ya kukujua kiundani zaidi.
Kuwa smart, siyo kimavazi tu, hata kichwani pia, yaani jua vingi na ujifunze kuishi maisha kama mpelelezi (wazee wa kitengo).
JIAMINI mzee. Be bold, kuwa na ma-confidence yako kama yote halafu usionekane wa kuchekacheka kila wakati, sometimes smile kisha vaa sura ya kazi, yaani ishi na mpenzi wako vile ambavyo unaweza kukaa na mdogo wako kama kuna jambo la kukataza unakataza na unatoa ushauri smart kimahaba.
Hapo tupo mzee?? Haya tuendelee!!
Mfanyie vitu vidogo vidogo hadharani kama surprise. Mfano Binafsi nina tabia ya kumkiss mpenzi wangu mbele za watu wengi, yaani iwe njiani au stendi ghafla namgeuza na kumkumbatia kisha kiss la paji la uso nabaki kusukumwa kimahaba na kupigwa kofi kimahaba lakini nia yangu tayari nimeitimiza na huwa hazisahauliki hizo moments.
Tafuta namna yoyote ya kumpa surprise yoyote, ila zinagtia usifanye surprise ambazo asilimia 80 ni za kutumia pesa, Hapana, jua namna ya kubalance, zingine ziwe natural kama kiss hadharani (uwe makini kuchagua mazingira na maeneo), kumkumbatia ghafla pasipo yeye kutegemea.
Mwisho you're still young bro, piga tizi pia itakupa confidence ya kufanya yote hayo. Lakini kama una namna yako ya kupata confidence ambayo itakusaidia kufanya yote hayo pia sawa.
Ila kauli ya "KUWA MWANAUME' huja baada ya mwanamke kuyaona madhaifu yako live kabisa.
Jithathmini wapi haupo vizuri kisha anza kufanyia kazi.
Pia usipanie sana kuwa na mwanamke yaani usichukulie kitu fulani serous saaaana, Hapana na ndiyo maana kila ukipata unajinyenyekeza kwao kupita kiasi kitu ambacho ni kosa kubwa hivyo wao kuwa na advantage ya kukuendesha.
Mtengenezee mwanamke mazingira ya yeye KUKUHITAJI kuliko wewe kumuhitaji (usimuonyeshe wala kutumia nguvu kutengeneza mazingira hayo maana akijua tu lazima ataanza kujihami).
Na akishakupenda vizuri na yeye ataanza game la kutengeneza mazingira ya wewe KUMUHITAJI.
Mengine wataongezea wataalamu
Unatakiwa uwe shupavu.Mbona mi nipo sawa tu au wanataka uwe muhuni
Nimetumia hizi mbinu leo kwa mtoto mmoja hivi kama vile nadate nae. Nimejishindia tuzo, siku zote nilikuwa najiliza kutaka outing mara ya 3 ila anajifanya busy. Leo nikamkazia sana kama hana muda nami nafanya mambo yangu, hapa tumeongea kwa simu tena so tunatoka jioni hii.Ukikutana na mwanamke kwa mara ya kwanza ukamkaza vizuri kabisa, lazima atarudi.
Jichunguze kwenye kukaza uwezo wako uko vp. (Tendo la ndoa)
Mwanamke huwa anavutiwa kutokana na kile anachokisikia, huwa ni story gani unazopiga na mpenzi wako mara nyingi? Kuna story za kufurahisha, kufikirisha na kustaajabisha, jua namna ya kuzichanganya hizi, yaani isiwe masaa yote mkikutana mnaongelea mapenzi tu na akuzoee hivyo. Hapana. Jaribu kuwa flexible yaani muda flani msifie, mda flani ongelea maisha future yako na mengine serous kidogo yaani jua kuzibalance hizo story.
Usiruhusu mwanamke kuuelewa udhaifu wako kabla ya wewe kugundua. Yaani jielewe na ujue udhaifu wako na wapi upo vizuri kisha ishi naye pasipo kuruhusu kukusoma na kukuelewa kwa asilimia mia. Yaani usimpe mwanamke chance mapema ya kukujua kiundani zaidi.
Kuwa smart, siyo kimavazi tu, hata kichwani pia, yaani jua vingi na ujifunze kuishi maisha kama mpelelezi (wazee wa kitengo).
JIAMINI mzee. Be bold, kuwa na ma-confidence yako kama yote halafu usionekane wa kuchekacheka kila wakati, sometimes smile kisha vaa sura ya kazi, yaani ishi na mpenzi wako vile ambavyo unaweza kukaa na mdogo wako kama kuna jambo la kukataza unakataza na unatoa ushauri smart kimahaba.
Hapo tupo mzee?? Haya tuendelee!!
Mfanyie vitu vidogo vidogo hadharani kama surprise. Mfano Binafsi nina tabia ya kumkiss mpenzi wangu mbele za watu wengi, yaani iwe njiani au stendi ghafla namgeuza na kumkumbatia kisha kiss la paji la uso nabaki kusukumwa kimahaba na kupigwa kofi kimahaba lakini nia yangu tayari nimeitimiza na huwa hazisahauliki hizo moments.
Tafuta namna yoyote ya kumpa surprise yoyote, ila zinagtia usifanye surprise ambazo asilimia 80 ni za kutumia pesa, Hapana, jua namna ya kubalance, zingine ziwe natural kama kiss hadharani (uwe makini kuchagua mazingira na maeneo), kumkumbatia ghafla pasipo yeye kutegemea.
Mwisho you're still young bro, piga tizi pia itakupa confidence ya kufanya yote hayo. Lakini kama una namna yako ya kupata confidence ambayo itakusaidia kufanya yote hayo pia sawa.
Ila kauli ya "KUWA MWANAUME' huja baada ya mwanamke kuyaona madhaifu yako live kabisa.
Jithathmini wapi haupo vizuri kisha anza kufanyia kazi.
Pia usipanie sana kuwa na mwanamke yaani usichukulie kitu fulani serous saaaana, Hapana na ndiyo maana kila ukipata unajinyenyekeza kwao kupita kiasi kitu ambacho ni kosa kubwa hivyo wao kuwa na advantage ya kukuendesha.
Mtengenezee mwanamke mazingira ya yeye KUKUHITAJI kuliko wewe kumuhitaji (usimuonyeshe wala kutumia nguvu kutengeneza mazingira hayo maana akijua tu lazima ataanza kujihami).
Na akishakupenda vizuri na yeye ataanza game la kutengeneza mazingira ya wewe KUMUHITAJI.
Mengine wataongezea wataalamu