Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,554
- 12,674
Kama kichwa cha habari kinavyoeleza.
Kila Mara ninapofanya mazoezi ya viungo asubuhi nikimaliza nasikia kusinzia.Leo hali hii ilinitokea pia nikaondoka kwenda kutembea ili usingizi uondoke.Niliporudi nyumbani usingizi bado upo.Hii hali ikoje ,Je ni kawaida mtu kusinzia baada ya kufanya mazoezi?
Kila Mara ninapofanya mazoezi ya viungo asubuhi nikimaliza nasikia kusinzia.Leo hali hii ilinitokea pia nikaondoka kwenda kutembea ili usingizi uondoke.Niliporudi nyumbani usingizi bado upo.Hii hali ikoje ,Je ni kawaida mtu kusinzia baada ya kufanya mazoezi?