Nikifanya hivi gharama za ujenzi zitapungua?

Babu Kijiwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2010
4,762
4,576
Wakuu habarini za wakati huu, nahitaji kujenga vi apartments sehemu fulani hivi, nimefikiria kuja tofauti kidogo ila sijui kama itasaidia kupunguza gharama au la.
Kuta za nje nategemea kutumia tofali za kawaida au za hydroform halafu vyumba vya ndani nivitengeneze kwa kutumia material ya soft body (kama zile wanazotumia kwenye majengo ya biashara mf bank).
Hii itapunguza gharama au ndani napo nitumie tofali tu?
Karibuni mafundi kwa ushauri.
 
Hebu kajenge halafu utuletee mrejesho tuone kama garama itakua imepungua mkuu
 
Hizo soft body zinahitaji maintance kila baada ya miaka kadhaa. And since vitu kama mejengo tunajenga kuja kutusaidia baadae hata wakati hatuna hela its better utumie tofali kwani zitakuwa kuta za kudumu kwa miaka mingi kidogo.
Initial cost may be small but other maintenance cost be huge
 
mkuu fahamu kwamba mjengo ni kitu permanent kabisa ila wakati mwingine utakuwa unaingia gharama za maintainance na repair..sasa ni vyema tu ujitoe mzima mzima ukamilishe ujenzi wako kwa durable materials ambazo zitakupa services kwa muda mrefu.tena,hizo soft materials sio kabisa katika apartments manake yale yatakuwa makazi ya watu tofauti..watu hupendelea pahali penye privacy na security,vitu ambavyo ni ngumu sana kuwaaminisha katika ujenzi wa hivyo..
 
Wakuu habarini za wakati huu, nahitaji kujenga vi apartments sehemu fulani hivi, nimefikiria kuja tofauti kidogo ila sijui kama itasaidia kupunguza gharama au la.
Kuta za nje nategemea kutumia tofali za kawaida au za hydroform halafu vyumba vya ndani nivitengeneze kwa kutumia material ya soft body (kama zile wanazotumia kwenye majengo ya biashara mf bank).
Hii itapunguza gharama au ndani napo nitumie tofali tu?
Karibuni mafundi kwa ushauri.
Gharama itapungua lakini ubora ndo utakuwa kawaida maana nyumba ya kuishi mkuu kikawaida ni kitu ya kudumu sana haswa sisi Waafrika!kwahiyo hata kama gharama itapungua nusu kwa nusu lakini matengenezo ya hiyo nyumba yatakuwa kila baada ya kipindi furani,nunua material Imara na ujenge kwa awamu yaani msingi kwanza,unavuta nguvu na kujenga mpaka kwenye madirisha mpaka umalize mbona wenzio nyumba za kwanza ndo tulifanya hivyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo soft body zinahitaji maintance kila baada ya miaka kadhaa. And since vitu kama mejengo tunajenga kuja kutusaidia baadae hata wakati hatuna hela its better utumie tofali kwani zitakuwa kuta za kudumu kwa miaka mingi kidogo.
Initial cost may be small but other maintenance cost be huge
Shukrani mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu fahamu kwamba mjengo ni kitu permanent kabisa ila wakati mwingine utakuwa unaingia gharama za maintainance na repair..sasa ni vyema tu ujitoe mzima mzima ukamilishe ujenzi wako kwa durable materials ambazo zitakupa services kwa muda mrefu.tena,hizo soft materials sio kabisa katika apartments manake yale yatakuwa makazi ya watu tofauti..watu hupendelea pahali penye privacy na security,vitu ambavyo ni ngumu sana kuwaaminisha katika ujenzi wa hivyo..
Shukrani mkuu
 
Gharama itapungua lakini ubora ndo utakuwa kawaida maana nyumba ya kuishi mkuu kikawaida ni kitu ya kudumu sana haswa sisi Waafrika!kwahiyo hata kama gharama itapungua nusu kwa nusu lakini matengenezo ya hiyo nyumba yatakuwa kila baada ya kipindi furani,nunua material Imara na ujenge kwa awamu yaani msingi kwanza,unavuta nguvu na kujenga mpaka kwenye madirisha mpaka umalize mbona wenzio nyumba za kwanza ndo tulifanya hivyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani mkuu
 
Back
Top Bottom