Nikifa leo, nani atarithi haya yote nifanyayo?

Mwana wa Nuru

JF-Expert Member
Dec 3, 2012
588
410
Mimi ni baba wa watoto wengi na mume wa Mke mmoja. nimefanikiwa kuwa na vitu vichache kama mende wasiozidi hamsini, mahindi nusu debe na kibanda cha kupumzikia jua likichwa. hofu yangu ni Je, niliondoka nani atawaangalia mende ambao nimejitahidi kuwatunza kwa takataka kadhaa?

Mke wangu nani atamhudumia kama mimi? Nalazimika kwenda hospitali na kucheki afya yangu na kukuta vipimo vinaonesha mimi ni mwathirika anayetembea kwa kudra za walinzi wangu tu.

Najitahidi kumeza dawa nyingi ili niendelee kuishi milele nikiangalia mende wangu ambao hata babu yetu hakuweza kuwa nao wakati akiwa hai. wakati najilazimisha hivyo kutoondoka mapema ndipo swali likanijia, hivi na kifo kikija nitakigomea ili nisiache mende wangu na mke wangu akawa wa mwingine (kama mke wa Samora alivyochukuli na swahiba wake Madiba.

Tuache kujidanganya, sote tu sawa, pua zetu zinatazama (bila macho) chini, hivyo lazima siku moja tuwaachie wengine, kwa hiari au kwa lazima.
 
Fasihi hailengi maana ikilenga itaua,
Nimekuelewa ila usiwe na wasiwasi kama ukifa hata kama maisha hayataenda utakavyo si utakua umekufa bwana huku maisha yataendelea Tu maana muda wako umepita.
We kufa Tu af kaa kuzimu uangalie maisha yatavyoenda
 
Watu wanaandika kwa fasihi bila tamathali za semi ili tuu kufikisha ujumbe. Asante ujumbe umetufikia.

Japo bandiko hili ni la utani utani ila kiukweli muda ukianza kuyoyoma kuelekea jioni kuna watu wanaingia uoga kuhusu kifo na mali zao atarithi nani. Tuandike Will, Wosia. Ndio maana hata katiba yetu sii tuu imeweka utaratibu in an event of demise of baba mwenye nyumba.
P
 
Watu wanaandika kwa fasihi bila tamathali za semi ili tuu kufikisha ujumbe. Asante ujumbe umetufikia.

Japo bandiko hili ni la utani utani ila kiukweli muda ukianza kuyoyoma kuelekea jioni kuna watu wanaingia uoga kuhusu kifo na mali zao atarithi nani. Tuandike Will, Wosia. Ndio maana hata katiba yetu sii tuu imeweka utaratibu in an event of demise of baba mwenye nyumba.
P
Ukiwa na mali kiasi gani au ukiwa na nini unatakiwa kuandika wosia?!
Je, huu wosia unaandikwa na wanawake pia?! Maana huwa nasikia sisi wanaume tu ndio huwa tunaandika will, wanawake wao huwa hawafi au wao vyao nani ana rithi wanapo fariki?!
Na ukiwa unaishi nyumba ya kupanga, huna mali zaidi ya vyumba viwili ulivyopanga, una mke na watoto wawili, will unaandikaje?!
 
Ukiwa na mali kiasi gani au ukiwa na nini unatakiwa kuandika wosia?!
Je, huu wosia unaandikwa na wanawake pia?! Maana huwa nasikia sisi wanaume tu ndio huwa tunaandika will, wanawake wao huwa hawafi au wao vyao nani ana rithi wanapo fariki?!
Na ukiwa unaishi nyumba ya kupanga, huna mali zaidi vyumba viwili ulivyopanga, una mke na watoto wawili, will unaandikaje?!
Yakijibuwa haya fasihi imekamilika.
 
Ukiwa na mali kiasi gani au ukiwa na nini unatakiwa kuandika wosia?!
Je, huu wosia unaandikwa na wanawake pia?! Maana huwa nasikia sisi wanaume tu ndio huwa tunaandika will, wanawake wao huwa hawafi au wao vyao nani ana rithi wanapo fariki?!
Na ukiwa unaishi nyumba ya kupanga, huna mali zaidi vyumba viwili ulivyopanga, una mke na watoto wawili, will unaandikaje?!
Nina kitabu cha jinsi ya kuandika will kwa TZ kiliandikwa na manguli wa sheria Kama wanne hivi na waliangalia tamaduni, dini, na sheria
 
Mimi ni baba wa watoto wengi na mume wa Mke mmoja. nimefanikiwa kuwa na vitu vichache kama mende wasiozidi hamsini, mahindi nusu debe na kibanda cha kupumzikia jua likichwa. hofu yangu ni Je, niliondoka nani atawaangalia mende ambao nimejitahidi kuwatunza kwa takataka kadhaa?

Mke wangu nani atamhudumia kama mimi? Nalazimika kwenda hospitali na kucheki afya yangu na kukuta vipimo vinaonesha mimi ni mwathirika anayetembea kwa kudra za walinzi wangu tu.

Najitahidi kumeza dawa nyingi ili niendelee kuishi milele nikiangalia mende wangu ambao hata babu yetu hakuweza kuwa nao wakati akiwa hai. wakati najilazimisha hivyo kutoondoka mapema ndipo swali likanijia, hivi na kifo kikija nitakigomea ili nisiache mende wangu na mke wangu akawa wa mwingine (kama mke wa Samora alivyochukuli na swahiba wake Madiba.

Tuache kujidanganya, sote tu sawa, pua zetu zinatazama (bila macho) chini, hivyo lazima siku moja tuwaachie wengine, kwa hiari au kwa lazima.
Jiwe hana IQ ya kuuelewa ujumbe wako .
 
Mimi ni baba wa watoto wengi na mume wa Mke mmoja. nimefanikiwa kuwa na vitu vichache kama mende wasiozidi hamsini, mahindi nusu debe na kibanda cha kupumzikia jua likichwa. hofu yangu ni Je, niliondoka nani atawaangalia mende ambao nimejitahidi kuwatunza kwa takataka kadhaa?

Mke wangu nani atamhudumia kama mimi? Nalazimika kwenda hospitali na kucheki afya yangu na kukuta vipimo vinaonesha mimi ni mwathirika anayetembea kwa kudra za walinzi wangu tu.

Najitahidi kumeza dawa nyingi ili niendelee kuishi milele nikiangalia mende wangu ambao hata babu yetu hakuweza kuwa nao wakati akiwa hai. wakati najilazimisha hivyo kutoondoka mapema ndipo swali likanijia, hivi na kifo kikija nitakigomea ili nisiache mende wangu na mke wangu akawa wa mwingine (kama mke wa Samora alivyochukuli na swahiba wake Madiba.

Tuache kujidanganya, sote tu sawa, pua zetu zinatazama (bila macho) chini, hivyo lazima siku moja tuwaachie wengine, kwa hiari au kwa lazima.
Wwe lazima utakua mtu wa bara maana kwa asili hao ndiyo watu wa gumu sana kuachia kitu hata kama anajua siyo haki yake ukilinganisha na watu wa Pwani ni wepesi wa kuachia vitu tena hasa akijua siyo haki yake faster anaiachia maana anajua kuna kifo pia ambacho hana control nacho!!
 
Back
Top Bottom