Zinagoma hizo za kubeti,niliweka PDF viewer nikaishia kufungua hizo PDF tu wakat mm lengo langu ni hizo za kubeti,infinixkwa pdf lazima uwe na pdf viewer kama adobe nk.
sijajua hapo hizo apps nyinyine za kubeti zinagoma kuistall au vipi!!!
aina gani ya simu tafadhali??
inawezekana site unakopakia siko,embu chukua file la meridian ujaribu kama litakataa.Zinagoma hizo za kubeti,niliweka PDF viewer nikaishia kufungua hizo PDF tu wakat mm lengo langu ni hizo za kubeti,infinix