Nikiangalia uso wa Tundu Lissu namsoma namna hii...

Urais kwa Lissu, hapana. Huyu ni aina ya akina Maghufuli, Mwakyembe, ambao ni watendaji wazuri hapo walipo.
 
kama Dkt hagombei 2015 basi jembe tunalo!sipati picha LISSU akichukua nafasi ya currently Vasco Da Gama.Magamba makuu yote yatakimbilia uhamishoni kwasababu si mtu wa kumung'unya maneno na vitendo ndo mwake.
Ni jembe hili hili la kulimia ama! Maana kuna uzi nilitupia humu kuwa J.K ni jembe baaasi pro chadomo walinirushia mawe ya matusi mpaka nilipoteza memory.Sasa we huyo Lissu ni aina gani ya jembe?
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Tundu Lisu ni mzalendo wa kweli. Tukipata watu kama 100 wa harakati kama yeye, hakika nchi hii tutaikomboa. Angalau wakulima tutapata hata kaniki ya kufunika miili yetu.
Siyo lile FISIURAHISI ZZKidogo: Anatoka singo dar! katikati ya NCHI. Yeye mambo ya URAHISI ni madogo!! bravo TL. Kila Werema akimwona BUngeni anahaha!! Nina uhakika Werema anaendaga mlingotini kwa ajili ya TL.
 
Tatizo lake moja ,huwa hashirikishi fuvu kwenye maamuzi.Jazba imemtawala sana huyu jamaa hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi.
 
Namkubali sana JK, anaakili nyingi sana lakini huenda sisi watanzania hatumtumii ipasavyo!

Kitendo cha jk kutambua uwezo wa Lissu na kutamka wazi kuwa "Bora Dr Slaa awe Rais lakini sio Tundu Lissu kuwa MBUNGE"

Kauli hii inaonyesha JK alivyo na akili nyingi na uoni wa mbali lakini huenda kuna namna, kwani uwezo huo wa JK wa kuona mbali hatujautumia/hajautumia ipasavyo kuliongoza taifa letu!

Tundu Lissu akisimama bungeni nusu ya wabunge wa ccm hujiandaa kupambana nae na mwisho huwa wanashindwa!

Lissu ni aina ya binadamu wachache sana ambao taifa letu tangu liwe huru limebahatika kuwanao!
 
wewe unataka kumkosanisha Lissu na Lowasa wa CHADEMA, nani kakuambia na Lissu anafikiria urais??
 
Kweli halafu hana njaaa njaa naamini hata akiambiwa agombee urais hatajutia kuuukosa ubunge
 
Narudi, nipeni sifa za Lisu za kazi na mafanikio yake. Sifa alizopewa hapa ni sawa na zile mlizompa JK kabla kuwa rais: JK ni mcheshi na mlima mananasi.
 
siku zote alie nje ya kiwanja ndio anakosoa mchezaji, ngoja aingie yeye uwanjani utaona jinsi atakavyocheza, likipigwa raggae yeye atacheza blues.

Na huyo lissu wenu ndio itakavyokuwa, mtasema afadhali ya mrema......!
kwani nani unataka kuniambia alicheza vizuri nje ya uwanja na alipoingizwa ndani akachemka? Au unadhania tu?
 
Narudi, nipeni sifa za Lisu za kazi na mafanikio yake. Sifa alizopewa hapa ni sawa na zile mlizompa JK kabla kuwa rais: JK ni mcheshi na mlima mananasi.

Watu kama nyie huwa hamkosekani kwenye jamii,Endelea kuposti tu mkuu!Chamsingi penda taifa lako zaidi ya Chama chako!
 
Watu kama nyie huwa hamkosekani kwenye jamii,Endelea kuposti tu mkuu!Chamsingi penda taifa lako zaidi ya Chama chako!


Kuuliza sifa za kazi na mafanikio ya Lisu ni kupenda chama changu? Please kill yourself.
 
Kwakweli that guy is special. ndio maana kikwete hakutaka aingie bungeni. Ukisikiliza hoja zake ni vifungu vya sheria. Ndio maana hata alipoibua ile hoja ya rais kuteua majaji vihiyo hata wanasheria wamagamba mm binafsi waliniambia kwamba wapo hao majaji.Huwezi kujua kama huendi mahakamani.Big up bro we are behind you.
 
Daima watu wanaopenda mkato hawawezi kumkubali mh.Tundu Lissu,Ni wanafiki pekee hawawezi kukubali intellectuals kama Mh.Tundu Lissu,Kwa mtu anayependa ukweli na hasa ule ukweli wa dhati ya moyo wake hawezi kupuuza mleta hoja Jukwaani.

Lazima tukiri kuwa kwa sasa tumepoteza njia,viongozi waliopo madarakani wanatupeleka tusikokujua na hasa kwa kuwa walituchepusha kutoka kwenye reli yetu siku nyingi.

Sheria hazizingatiwi,mazoea yametawala ktk kuongoza nchi,kupeana vyeo kwa kufuata undugu au nani wajuana naye ndiko kumetawala, Moyo wa uzalendo kwa asilimia kubwa kumetoweka ktk mioyo ya walio wengi na wengine wameishia kuwa ama makuwadi au wapiga makofi ili tu wafikiriwe na wenye madaraka so anapotokea msema kweli basi ni mwendo wa vijembe.

Walau wasiomjua wanapouliza japo kwa mazingira ya sasa si rahisi kusema hujawahi kumsikia Mh.Tundu Lissu,Tundu Lissu ni aina ya vionozi ambao nina amini wanaweza kusaidia nchi kurudi kwenye mstari, sasa kwa wale ambao wananufaika kutokana na mfumo uliopo ndio wanaishia kukejeli maana wanajua kama kweli atapewa nafasi basi vitumbua vyao vitaingia mchanga.Tuwe wakweli wakuu tuachana na mazoea!
 
Back
Top Bottom