chinekeeee
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 1,787
- 2,885
Vyovyote ilivyo mtu huwezi kuwa be half of ur self unaweza kutuambia inawezekanaje? acha ujinga yaani tokea mmeongezewa Buku 7,500 mmekuwa na mbwembwe kweli
Wakati watu wanachambua lugha wewe ukaomba ufundishwe kutukana kwanza!So Trump naye Kakosea What a dickhead you are?
Mkuu Vipi deal ya Griezman tunaweza Kumpata?
Hivi Muhongo yuko chadema? Tibaijuka yuko chadema?Majizi chadema ni zero brain
Basis ndio kitu gani na wewe? Unawaza futari tu.. MxxxxMkuu hata Kusoma Hujasoma angalia hapo kwenye neno "and" Kama umeona kuna Utofauti basis Kwa akili ya Kwako Mbowe na Darasa la 7 atawatawala Mpaka Mnaingia Kaburini.
Jamaa ni walewale, unapoteza muda. On behalf of myself haiwezekani. Labda utume kivuli chako kikakuwakilishe. Trump alikuwa anamwakilisha mkwewe melania ndo maana akasema on behalf of Melania, hakusema on behalf of ourselves maana yeye alikuwepo naalimwakilisha mkewe. Sasa sijonze ilikuwaje ajiwakilishe mwenyewe? Atumie kiswahili tu wakalimani wapo hawezi kushindwa kuwalipa."On behalf of myself"-Sizonje
"On behalf of FLOTUS Melania"-Trump
Naamini kama akili yako iko sawa utagundua kitu ila kama ndio wadogo zake Bashite mmechukua akili za baba yenu kazi itakua ngumu hapa,ivi kwani ni dhambi kukubali Sizonje lugha ya Malkia haimudu?na sio kujua kiingereza ndio kipimo cha werevu.
Yaani wewe ndo hujaelewa sasa, usimtetee sizonje lugha ya malkia haipandi.Nakukejeliwa na Vijana wa Ukawa (Ufisadini) baada ya Rais Kutweet wakawa wanamkejeli
Mda huu napitia kwenye Ukurasa wangu wa Twitter nakutana Na maneno yaleyale "" On Behalf of Myself"" Vijana wa Chadema Wanaona siyo Kiingereza Sahihi.
Tweet ya Rais Magufuli Tarehe 26/11/2016 Saa 8:58PM
View attachment 515047
Tweet ya Rais Trump Usiku ambayo Vijana wa Chadema hawatapenda Kuiona aibu kwa Mafisadi.
View attachment 515046
Bora la 7 kuliko PhD ya kuchonga ...Mkuu hata Kusoma Hujasoma angalia hapo kwenye neno "and" Kama umeona kuna Utofauti basis Kwa akili ya Kwako Mbowe na Darasa la 7 atawatawala Mpaka Mnaingia Kaburini.
wanaona siyo kiingerza sababu amekopi neno km lilivo. Huo ni ukasuku.Mkuu Vipi deal ya Griezman tunaweza Kumpata?
Njaa ishakupanda kwenye ubongoNakukejeliwa na Vijana wa Ukawa (Ufisadini) baada ya Rais Kutweet wakawa wanamkejeli
Mda huu napitia kwenye Ukurasa wangu wa Twitter nakutana Na maneno yaleyale "" On Behalf of Myself"" Vijana wa Chadema Wanaona siyo Kiingereza Sahihi.
Tweet ya Rais Magufuli Tarehe 26/11/2016 Saa 8:58PM
View attachment 515047
Tweet ya Rais Trump Usiku ambayo Vijana wa Chadema hawatapenda Kuiona aibu kwa Mafisadi.
View attachment 515046