voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,551
- 11,882
Kipi kilichokwama?Team Lumumba. Mlisema wapinzani wanawa chelewesha . Mmewatoa lakini bado safari haifanyiki mnaishia kuwalaumu wapinzani !!!
America na Tanganyika wapi na wapi !!
Odhis *
Uchaguzi umeisha mwezi october2020, na leo ni january 2021.
Au mmekosa sera na kuchanganyikiwa?
Bunge jipya halijakaa hata kikao kimoja!
Chadema mmepoteana na mahali pekee mnapojifariji kwa sasa ni mitandaoni tu.
Poleni sana.
View attachment 1683846