Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,957
- 103,308
Hebu ngoja nitoke nje ya mada,hivi vile vifaranga vilivyochomwa moto toka Kenya kipindi kile vilikua na kosa gani?
Viliingia kwenye zone ya vita vya kiuchumi
Hebu ngoja nitoke nje ya mada,hivi vile vifaranga vilivyochomwa moto toka Kenya kipindi kile vilikua na kosa gani?
Ila dunia haijawahi kuwa na huruma na mtu mwovu tangu enzi ziiiiiiiiiillleeeee za Adam na EvaWamemuonea sana Mbowe basi tu..
Amini usiamini vita ya kiuchumi ni ya serikali na watu wake tangu 2015Viliingia kwenye zone ya vita vya kiuchumi
falme apite mara ngapi analiwa na nyenyere weusi huko ahera sasa yapata miezi tu lkn utafikiri kafa miaka kumi!Kila jambo linapita mkuu, hata huyu mfalme juha atapita pia!
haya maneno yako yalimuondoa jiweIla dunia haijawahi kuwa na huruma na mtu mwovu tangu enzi ziiiiiiiiiillleeeee za Adam na Eva
Unamuonea huruma sana Rebeca 83 basi tuWamemuonea sana Mbowe basi tu..
Hata akiwa gaidi sitashangaa lolUnamuonea huruma sana Rebeca 83 basi tu
hapana siyo gaidi yule banaHata akiwa gaidi sitashangaa lol