Niki wa Pili: Wawekezaji wamekuja kupora ajira zetu

The Phylosopher

JF-Expert Member
Mar 11, 2015
1,502
2,046
Akizungumza kwenye kituo kimoja cha habari, rapa na msomi huyo amedai kuwa katika eneo la Bulyanghulu pekee kabla ya kuja mwekezaji palikua na wachimbaji wadogo zaidi ya laki tatu wanaojiajiri maeneo hayo lakini baada ya kupewa mwekezaji eneo hilo watu ameajiri watu wasiozidi elfu kumi.
 
Wawekezaji sio watu wabaya, Tatizo baadhi ya sheria zetu au mikataba tulioingia nao ndo inayotuumiza.
 
Msomi gani anayeangalia upande mmoja tu. Au ndio kutafuta sifa?!
 
Wachimbaji wadogo laki tatu.? Bulyanhulu pekee.? Huyu naye hovyo kabisa.

Kabla ya wawekezaji anaanisha ni late 90s. Kwa mujibu wa sensa mwaka 98 kulikuwa na watu around mil 28. Sasa kama watu laki tatu walikuwa bulyanhulu pekee. Tabora ilikuwa na watu kiasi gani.? Mwanza.? Geita.?, kakola.?

Hebu aacha upotoshaji.
 
Nae anasoma. PHD? Na kuna wanafunzi anawafundisha? Pole yao njooni tu kitaa tusake noti huko darasani mnalishwa matango pori!
 
Wachimbaji wadogo laki tatu.? Bulyanhulu pekee.? Huyu naye hovyo kabisa.

Kabla ya wawekezaji anaanisha ni late 90s. Kwa mujibu wa sensa mwaka 98 kulikuwa na watu around mil 28. Sasa kama watu laki tatu walikuwa bulyanhulu pekee. Tabora ilikuwa na watu kiasi gani.? Mwanza.? Geita.?, kakola.?

Hebu aacha upotoshaji.
hurt fact..
 
Back
Top Bottom