OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,170
- 103,629
Akihojiwa na kipindi cha Siz Kitaa cha Clouds Tv amepingana na msimamo wa rais Magufuli kuhusu kupiga marufuku wanafunzi waliopata mimba mashuleni
Msanii Msomi Niki amesema Magufuli anawanyima watoto haki ya kupata elimu ambayo ni haki ya kikatiba. Niki anasema wanafunzi wa kike waliopata mimba wanatakiwa wachukuliwe kama watu wenye mahitaji maalumu,wanahitaji faraja na kutokutengwa na jamii. "Fikiria baba wa mtoto yupo jela miaka 30,mama ametengwa na jamii" anasema Niki
Niki anasisitiza kuwa jamii isiwe na watu waliojaa hofu ya kusema wanachoona kinafaa zaidi na sio kunyamaza huku wakiumia.
Niki pia amesisitiza vijana kuwa na utamaduni wa kusoma vitabu na maandiko kwani kumejaa maarifa
Msanii Msomi Niki amesema Magufuli anawanyima watoto haki ya kupata elimu ambayo ni haki ya kikatiba. Niki anasema wanafunzi wa kike waliopata mimba wanatakiwa wachukuliwe kama watu wenye mahitaji maalumu,wanahitaji faraja na kutokutengwa na jamii. "Fikiria baba wa mtoto yupo jela miaka 30,mama ametengwa na jamii" anasema Niki
Niki anasisitiza kuwa jamii isiwe na watu waliojaa hofu ya kusema wanachoona kinafaa zaidi na sio kunyamaza huku wakiumia.
Niki pia amesisitiza vijana kuwa na utamaduni wa kusoma vitabu na maandiko kwani kumejaa maarifa