Tegelezeni JF-Expert Member Dec 31, 2009 268 124 Dec 29, 2011 #41 Mpe pole muhusika, maana hiyo ilikuwa ni fedheha!
Mayasa JF-Expert Member Aug 19, 2010 583 295 Dec 29, 2011 #42 Huyo mama mkwe nae alikuwa hajambo.. maana pale inaonekana alienda kumuuguza mumewe, lakini akasingizia kaka yake! dunia ina mambo hii acha kabisa
Huyo mama mkwe nae alikuwa hajambo.. maana pale inaonekana alienda kumuuguza mumewe, lakini akasingizia kaka yake! dunia ina mambo hii acha kabisa
Dr.Chichi JF-Expert Member Apr 30, 2008 2,394 631 Dec 30, 2011 #43 he he he samahani kwa kucheka ila da ingenikuta miye sijui ningefanyaje...mpe pole mshikaji
Dr.Chichi JF-Expert Member Apr 30, 2008 2,394 631 Dec 30, 2011 #44 he he he samahani kwa kucheka ila da ingenikuta miye sijui ningefanyaje...mpe pole mshikaji..