Losambo
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 2,612
- 864
Kongosho, hivi visa ni vya kweli na vina haki miliki, ukivitengenezea Movie, nakushtaki na utanilipa fidia
Mtambuzi visa hivi ni wewe tu unayekuwa na haki miliki tu?
Kongosho, hivi visa ni vya kweli na vina haki miliki, ukivitengenezea Movie, nakushtaki na utanilipa fidia
Unajua dada AshaDii, nimejijengea marafiki wengi sana na ndio sababu visa na mikasa vya hao marafiki zangu havinipigi chenga, huwa wananisimulia wenyewe, na mimi kwa umahiri nawasimulia wana JF wenzangu ili tujifunze wote.
Shem nakusalimu.....eep:
Asprin, ushaanza sasa kuchakachua mada yangu............LOL
Hahahaha..... Tunashukuru Mtambuzi.... Hasa ukizingatia umetupumzisha akina mama kidogo kwenye makala zako matata....lol
:A S 103:Asprin, ushaanza sasa kuchakachua mada yangu............LOL
:whoo::hug:Shem nimefurahije? Salamu zimepokelewa kwa mikono miwili..... na furaha kwangu kuona leo umeweza post words.....:hug:
:focus:Dah! Pole Mtambuzi.... Ila hizi salamu nilikua nazisubiri kwa hamu saana....lol... Usiogope twaondoka hivo....oa
Nimegundua Bosi wangu (ni mwanamke) ni mwana JF wa siku nyingi, kuna siku nilimsikia akimzungumzia mwandishi anayejiita MTAMBUZI kuwa anamkera kwa kuwaandama wanawake na mada zake humu JF. niliogopa sana na ndio nikaona nibadilishe uelekeo maan siku akijua ni mimi kazi itakuwa kwishnei. kazi tamu dada yangu. huwa najiuliza anaingia humu JF kwa ID gani, maana isije ikawa ni huyu naniliu!
:A S 103:
:whoo::hug:
:focus:
Hahahaha.... Kumbe dawa yako ndogo tu eeeh? lol.... Raha ya kua na Boss wakike anae tuwakilisha wanawake!
Mwisho wa Ubaya Aibu.:welcome::hand::hand::hand:........."Hodi" ya chooni haiitikiwi "karibu"................:israel::israel::israel:
:sorry::focus:Kuna siku aliwahi kuniuliza kama ninatembea mtandao wa Jamii Forum, nikamjibu kwamba, hata sijui hiyo Jamii Forum ni kitu gani. Siku akijuaaaa..................LOL
Mh baba huyo rafiki yako mbona mzinzi hivyo? Alianza na darasa la sita na hakutumia condom.
Miezi mi3 tu akashindwajizuia kumsaliti mkewe, akaanza na mwingine, tena akavuta kabisa akawa kama mkewe!!kumbe mama mkwe!
Si bure kuna somo anapewa ambalo hajaligundua.
Afadhali.......Na huyo mwingine alimpata wiki ya tatu tu tangu afike hapo Mbeya............Ajabu eh!
Kusema kweli uzinzi ulikuwa ni ugonjwa mkubwa wa huyu Bwana, lakini tukio la kutembea na mama mkwe, likafunga ukurasa wa uzinzi, na amejirekebisha sana kitabia, amekuwa kama mimi Mtambuzi............
:suspicious:Na huyo mwingine alimpata wiki ya tatu tu tangu afike hapo Mbeya............Ajabu eh!
Kusema kweli uzinzi ulikuwa ni ugonjwa mkubwa wa huyu Bwana, lakini tukio la kutembea na mama mkwe, likafunga ukurasa wa uzinzi, na amejirekebisha sana kitabia, amekuwa kama mimi Mtambuzi............