FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
- Thread starter
- #21
Hats hao Muumba aliwaweka madarakani ili atukuke,huwezi jua huenda vizazi vya nchi hizo vilikuwa na mako's Fulani ndiyo wakaletwa wa kuwaadhibu.pia Rejea maandiko Mungu aliandaa Wafalme ili kuondoa ufalme Fulani wote wake ila lengo atukukeSijui huwa mnakunywa nini?...eti Raisi ni muwakilishi wa Muumba, kwa hiyo kina Idd Amini, Hitler, Bokasa, Mobutu na wengine walimuwakilisha Muumba?