Salahan
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,942
- 3,603
Nimechoka kulishwa nazi na Bakhresa za kiwandani. Nataka nazi original toka shamba mnazini. Tatizo lipo ktk ukunaji wa iyo nazi ili kupata tui.
Vipi naweza kutumia utaalam na kifaa gani ilikupata tui la nazi. Nijuze kifaa tofautina ito mbuzi nipo kidigital zaidi nataka umeme ndio ufanye hiyo kazi
Vipi naweza kutumia utaalam na kifaa gani ilikupata tui la nazi. Nijuze kifaa tofautina ito mbuzi nipo kidigital zaidi nataka umeme ndio ufanye hiyo kazi