muzdalifa Member May 30, 2014 58 8 Aug 15, 2017 #1 Jamani! Anaefahamu taratibu za kupewa leseni ya maabara baada ya kugraduate anijuze, hasa wanaitaje vigezo gani Au mwenye regulations zao anaweza ituma apa.
Jamani! Anaefahamu taratibu za kupewa leseni ya maabara baada ya kugraduate anijuze, hasa wanaitaje vigezo gani Au mwenye regulations zao anaweza ituma apa.
mhuri25 JF-Expert Member Sep 3, 2016 2,666 3,453 Aug 17, 2017 #2 Ulikuwa member wa TAMELASA!?? Sent using Jamii Forums mobile app