OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,714
Moja ya vitu vinavyonipotezea muda kwenye simu ni pamoja na kuchapa sms. Natumia muda mwingi kufanya editing kuweka maneno ya kiswahili baada ya simu kuweka maneno yake.
Mimi naandika yake...yenyewe inaandika take. Sipendi hii kitu
Mimi naandika yake...yenyewe inaandika take. Sipendi hii kitu