MTENDAHAKI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,013
- 1,443
Jamani nujulisheni kama polisi walitii agizo la mbunge mteule wa Arumeru mashariki Mh. Joshua Nasari aklilowaagiza Polisi wa Arumeru kuwwachia vijana waliokuwa wakishangilia ushindi na kulinda kura usiku wa kusubiria matokeo!