Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,890
- 939
NIJUE, ISHI NA MIMI: AHADI NAMBA 5 YA MWANACHAMA WA CCM.
NIJUE, ISHI NA MIMI: AHADI NAMBA 5 YA MWANACHAMA WA CCM
"Cheo ni dhamana, sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu."
Ahadi namba 5 inasisitiza kuwa uongozi ni utumishi kwa wananchi na sio manufaa kwa mtu binafsi hivyo hatutakiwi kutumia vibaya au kumshawishi kiongozi aitumie vibaya dhamana hiyo.
#KaziIendelee
#TunaImaniNaSamia