Nijuavyo Machifu na taratibu zao ni 100% Ushirikina je, Wanasiasa tukianza Kuwaamini na Kuwasikiliza nasi hatuwi pia wapenda Ushirikina?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,518
108,793
Nasubiri majibu yenu juu ya nililouliza kwani nami GENTAMYCINE kama Mwanasiasa na Mgombea Urais mtarajiwa wa 2025 nataka kujua ili kama vipi nami niende kwa Machifu wa Unguja na Pemba 'wanitambikie' ili nianze kuwa na Mvuto kwa Watanzania na niwe Rais kwani Ikulu 'Kunanoga' mno.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom