monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,486
- 13,017
Noma sana!
NdiyoMtoa mada umesema sio dini, je mtu anaweza kuwa freemason wakati anaendelea kuabudu katika dini yake ya kawaida?
Mkuu tunaposema Freemason ni Secret Society hatumaanishi ni Jamii ya Siri; tunamaanisha ni Jamii Yenye Siri. Ndiyo maana jamii inafahamika na hata baadhi ya members wake wanafahamika, lakini yanayofanyika ndani ya hii jamii ndiyo hayafahamiki kwa wasio wanachama zaidi ya speculations na propaganda tu za watu wanaofikiri wanaijua sana FreemasonHamjawahi kuwa wakweli nyinyi Chama cha Shetani nani atasikiliza porojo zako hizi wakati tayari mnajiita jamii ya siri
Walianza wakina Hassan wa Yahya Hussein kuwapamba pamba hawa jamaa hakuna aliyewasikiliza
Endi Chande nae alikuwa anapakapaka rangi weee eti ili watu wawachukulie poa...
Lakini wapi!
Acha uogaInatisha