Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,755
Nirisoma adi darasa la saba hila najuwa mambo mengi kuusu maisha. nakalibishwa masuali yenu. nivumiliaenani katika muwandiko wagu piya na ware ambawo wanakasirika nisameeni sana.karibuni?
masuali nini?Nakalibisha masuali nirikoseya kaka yagu
Nimekuerewa iwe....mwanzo niritaka kukasirika, niripojuwa ni wewe nikakuerewa....Nirisoma adi darasa la saba hila najuwa mambo mengi kuusu maisha. nakalibishwa masuali yenu. nivumiliaenani katika muwandiko wagu piya na ware ambawo wanakasirika nisameeni sana.karibuni?