Night club-ushauri

spray

JF-Expert Member
Nov 14, 2013
277
241
Hi wanabodi hamjambo,
Ndani ya mwezi mmoja toka sahii natarajia kufungua nite club ambayo itatarget watu wa hali ya kati na juu..

Naomba wenye uzoefu wanipe experience yakurun hii biznez, wateja pia unaona nn huwa kinakuvutia zaidi nk, na pia kama kuna chochote unachoweza kunishauri tukafanikikiwa..

Pls karibuni kwa mawazo
 
Location, security, ambience, parking space, drinks ( liquors,beers,cocktails n mocktails) .. Prices..., servers (waitress /waiters and bouncers)
 
eleza una target mkoa upi wilaya ip ama ni katika majiji ya tanzania safari njema ya mafanikio club inalipa kama utakuwa na totoz za kutosha na lady free katkat ya week.
 
Hi wanabodi hamjambo,
Ndani ya mwezi mmoja toka sahii natarajia kufungua nite club ambayo itatarget watu wa hali ya kati na juu..

Naomba wenye uzoefu wanipe experience yakurun hii biznez, wateja pia unaona nn huwa kinakuvutia zaidi nk, na pia kama kuna chochote unachoweza kunishauri tukafanikikiwa..

Pls karibuni kwa mawazo
Habari yako chief ntaku pm namba ya jamaa mmoja anaitwa richy hzo ndy shuguli zake Ali design pub iliyo ndani ya bar yetu jamaa Yuko vzuri sana jamaa his the best

Ova
 
Hi wanabodi hamjambo,
Ndani ya mwezi mmoja toka sahii natarajia kufungua nite club ambayo itatarget watu wa hali ya kati na juu..

Naomba wenye uzoefu wanipe experience yakurun hii biznez, wateja pia unaona nn huwa kinakuvutia zaidi nk, na pia kama kuna chochote unachoweza kunishauri tukafanikikiwa..

Pls karibuni kwa mawazo
Nshaku pm namba ya jamaa we mcheki tu,ukichonga naye atakupa full info

Ova
 
hajaombaa
Habari yako chief ntaku pm namba ya jamaa mmoja anaitwa richy hzo ndy shuguli zake Ali design pub iliyo ndani ya bar yetu jamaa Yuko vzuri sana jamaa his the best

Ova
hajaombaa mtu wa kudisign bt namnaa ya kurun by yhe way mi nakushaur kwanza waudumu wawe wanaojielewaa,dj mzuri,vinywaji na vyakulaa bilaa kusahau kareoke iwepo mengine utajuaa baada ya kufunguaa alhamis ladyz freee uweke piaa
 
hajaombaa

hajaombaa mtu wa kudisign bt namnaa ya kurun by yhe way mi nakushaur kwanza waudumu wawe wanaojielewaa,dj mzuri,vinywaji na vyakulaa bilaa kusahau kareoke iwepo mengine utajuaa baada ya kufunguaa alhamis ladyz freee uweke piaa
Hadi ushauri atampaa pia

Ova
 
Back
Top Bottom