Nigeria: Watu nane wakamatwa na Polisi kwa kosa la kula mchana mwezi wa Ramadhani

Kwa maana nyingine ni lazima mtu aione pepo?

Naamini kwamba, uislamu na ukristo msingi wake mkuu ni mafundisho ya vitabu vitakatifu pamoja na free will aliyonayo mwanadamu kufuata mafundisho hayo au kuyapotezea.

Sasa inakuwaje mtu ameamua kuikataa pepo alazimishwe wakati huo huo unasema huyo mwanadamu ana free will kuchagua kwenda mbinguni au motoni!
Usipende kuleta siasa kwenye imani. Uliyoandika hapo ni hadithi za kusadikika. Kimsingi hizi ni imani mbili tofauti na vitabu tofauti vyenye maamrisho na mafundisho tofauti.

Sijui kwa nini unataka kulazimisha zikae kundi moja kana kwamba ni zinafanana.

Kama waliokamatwa ni waislam na wako sehemu inaendeshwa kwa sharia sioni shida. Ila wangekamatwa watu wa imani nyingine ambao Ramadan haiwahusu then hapo kungekuwa na tatizo!
 
Watu wanane wamekamatwa na polisi wa Kiislamu katika jimbo la kaskazini mwa Nigeria Kano kwa madai ya kukataa kufunga Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.

17742938_303.jpeg


Polisi wa Hisbah wanasimamia sheria za Kiislam huko Kano – moja ya majimbo 12 ya Waislamu kaskazini mwa Nigeria wanaotumia mfumo wa sheria wa Sharia pamoja na sheria za kidunia za nchi hiyo.

“Wahusika walikuwa wanawake watano na wanaume watatu, wakila alasiri katika mwezi wa Ramadhan,” Aliyu Kibiya, Mkurugenzi mtendaji wa Bodi ya Hisbah Jimbo la Kano alinukuliwa akisema.

Kufunga kwa watu wazima ni suala la wajibu hasa kwa wale wenye uwezo wa kutokula na kunywa.


Walio wagonjwa na wale ambao wanaweza kupata athari za kiafya iwapo watafunga kula na kunywa, wakiwemo watoto, wanawake wajawazito, wasafiri na wanawake wanaonyonyesha.

Kwa mujibu wa BBC wanawake hao waliiambia Hisbah kwamba walikuwa na msamaha kwa kuwa wako kwenye hedhi, lakini polisi waliwaambia pamoja na hali hiyo hawakupaswa kula hadharani.

Ikiwa watashtakiwa mahakamani, wanaweza kulipishwa faini au kupelekwa kwa taasisi ya marekebisho ya tabia.

Taarifa ya Bw Kibiya ilionya kuwa uvamizi zaidi utafanywa katika jimbo lote kuhakikisha watu wanazingatia wajibu wao wa kidini.
Hivi kwa nini hii dini baadhi ya waumini wake wana chuki sana mioyoni? Sasa mtu akila si ni kesi yake na Mwenyezi Mungu? iweje sasa wamuhuku na kumlazimisha kuabudu? Kwani Mungu usipofubga yeye anapungukiwa nini?
 
Hivi kwa nini hii dini baadhi ya waumini wake wana chuki sana mioyoni? Sasa mtu akila si ni kesi yake na Mwenyezi Mungu? iweje sasa wamuhuku na kumlazimisha kuabudu? Kwani Mungu usipofubga yeye anapungukiwa nini?
Hata mimi nina shangaa mkuu.
 
Siwezi kuwa na adabu kwenye dini za kijinga kama hizo. Na hayo yote ni matokeo ya kutokwenda shule. Kuwa kwenye imani ya dini fulani ni lazima? Yaan wameweka na askari kabisa sasa huo ni ugaidi kabisa.

Hawa jamaa wangekuwa wengi kama wakristo, dunia hii ingekuwa ina machafuko sana. Vita ingekuwa vingi kila kona. Ungesikia makanisa yamechomwa moto, mapadri na wachungaji wamemwagiwa tindikali. Ukikutwa unakula kwenye mfungo wa Ramadhani unakamatwa kama hao jamaa na kuchapwa viboko.

Huwa namwelewa sana Mchina. Hao jamaa wanamatatizo ya akili sana. Wakiwa wengi tu ni kosa kubwa sana ni kama virus
Johnny Impact kuwa na adabu, na heshimu imani za watu! Unaposema uislamu ni ugaidi unakosea sana..

Pumzi inakuhadaa, kuwa makini na kauli zako!
 
Shida ya hao jamaa ni shule inawasumbua. Kama kiongozi wao alikuwa hajui kusoma na kuandika wao ndiyo wataweza?

Ukimletea hicho kitabu ukamwambia asome, atakutolea macho tu lkn yupo busy kutetea dini yao na matokeo yake ni kama hayo.
Hao hawana elimu yoyote. Ukisoma unafuta ujinga mwingi sana kama huo.

Waambieni waje wakamate na Mimi hapa muda huu napata chakula cha mchana

Upuuzi wa imani huu

View attachment 1754546
 
Mungu utaenda kukutana nae ukifa, mtaenda kuulizana vizuri.

Sababu za wewe kuacha kufunga uenda ukawa na sababu zenye mashiko.

Ila kwa hapa duniani raia hawawezi kukuelewa.basi jifiche ndani kwako.

Kwa hiyo usijionyeshe kwa wanadamu au kwa Mungu?
 
. kwanini mnatuchukia waislam ?.tumewakosea nini?.
Mbona hata wakristo nao wanafanya.
Kuna dada Huku kitaa ana makalio makubwa anasema hapendi waislam.
Sijui waislam walimfanya nini
😂 😂 😂
 
Nakuonya tabia ya kukejeri dini za watu bro bro nakuonya nitaharibu kila unachokipenda kwe simu nakuonya tena sijasoma (IT) hapa tanzania mimi.
 
Back
Top Bottom