Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,167
- 5,602
Usipende kuleta siasa kwenye imani. Uliyoandika hapo ni hadithi za kusadikika. Kimsingi hizi ni imani mbili tofauti na vitabu tofauti vyenye maamrisho na mafundisho tofauti.Kwa maana nyingine ni lazima mtu aione pepo?
Naamini kwamba, uislamu na ukristo msingi wake mkuu ni mafundisho ya vitabu vitakatifu pamoja na free will aliyonayo mwanadamu kufuata mafundisho hayo au kuyapotezea.
Sasa inakuwaje mtu ameamua kuikataa pepo alazimishwe wakati huo huo unasema huyo mwanadamu ana free will kuchagua kwenda mbinguni au motoni!
Sijui kwa nini unataka kulazimisha zikae kundi moja kana kwamba ni zinafanana.
Kama waliokamatwa ni waislam na wako sehemu inaendeshwa kwa sharia sioni shida. Ila wangekamatwa watu wa imani nyingine ambao Ramadan haiwahusu then hapo kungekuwa na tatizo!