Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,442
- 3,352
Watu wengine 40 wamejeruhiwa katika mlipuko huo uliotokea nje ya ukumbi wa Konduga uliopo Borno, Kaskazini Mashariki mwa Nigeria
Kwa mujibu wa Wakala wa Majanga ya Dharura, katika ukumbi huo Mashabiki wa mpira walikuwa wakifuatilia mechi kupitia runinga iliyopo ukumbini
Kikundi cha Boko Haram kinashutumiwa kuhusika na shambulio hilo japokuwa chenyewe hakijasema kuhusuka ila kinashutumiwa kutokana na kufanya mashambulio ya mara kwa mara kwenye maeneo hayo
Aidha, kutokana na mashambulio ya mara kwa mara ya kikundi hicho, hadi sasa kimeshaua zaidi ya Watu 27,000 na kulazimisha wengine zaidi ya Milioni 2 kukimbia makazi yao
====
At least 30 people have been killed in a suicide attack in north-eastern Nigeria, officials say.
Another 40 have been injured, according to the State Emergency Management Agency.
The bombers detonated their explosives outside a hall in Konduga, Borno State, where football fans were watching a match on television.
Jihadist group Boko Haram is being blamed for the attack, though it has not claimed responsibility for it.
It has frequently carried out bomb attacks in the state.
The group has claimed 27,000 lives and forced some two million people to flee their homes.
View attachment 1129796
Kwa mujibu wa Wakala wa Majanga ya Dharura, katika ukumbi huo Mashabiki wa mpira walikuwa wakifuatilia mechi kupitia runinga iliyopo ukumbini
Kikundi cha Boko Haram kinashutumiwa kuhusika na shambulio hilo japokuwa chenyewe hakijasema kuhusuka ila kinashutumiwa kutokana na kufanya mashambulio ya mara kwa mara kwenye maeneo hayo
Aidha, kutokana na mashambulio ya mara kwa mara ya kikundi hicho, hadi sasa kimeshaua zaidi ya Watu 27,000 na kulazimisha wengine zaidi ya Milioni 2 kukimbia makazi yao
====
At least 30 people have been killed in a suicide attack in north-eastern Nigeria, officials say.
Another 40 have been injured, according to the State Emergency Management Agency.
The bombers detonated their explosives outside a hall in Konduga, Borno State, where football fans were watching a match on television.
Jihadist group Boko Haram is being blamed for the attack, though it has not claimed responsibility for it.
It has frequently carried out bomb attacks in the state.
The group has claimed 27,000 lives and forced some two million people to flee their homes.
View attachment 1129796