Wakuu kesho ndyo uchaguzi wa nigeria unafanyika na kwa hali ilivyo kuna kila dalili buhari akashinda tena kiti cha urais. Hii ni kutokana na mpinzani wake mr aboubakar atiku kuwa na skendo za kujipatia utajiri alipokuwa mkuu wa bodi ya forodha miaka ya 90 ...na kwa wale wasiomjua mr atiku ni mmoja wa mabilionea nchini nigeria ...sasa hpo ndipo ambapo utajiri wake unapoibua maswali mengi na mwisho wa siku wananchi walio wengi nchini nigeria wamemweka kwenye kundi la wezi
Kwa upande mwingine huku rais mtarajiwa mr muhammad buhari afya yake imekuwa inazorota sana kiasi cha kuwapa hofu raia wa nigeria kuwa huenda akafariki kabla hajamaliza muda wake
Na hpo ndipo wananchi wa nigeria wanapobaki njia panda je wamchague nani? Kati ya mwizi na mzee mwenye afya mgogoro?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa upande mwingine huku rais mtarajiwa mr muhammad buhari afya yake imekuwa inazorota sana kiasi cha kuwapa hofu raia wa nigeria kuwa huenda akafariki kabla hajamaliza muda wake
Na hpo ndipo wananchi wa nigeria wanapobaki njia panda je wamchague nani? Kati ya mwizi na mzee mwenye afya mgogoro?
Sent using Jamii Forums mobile app