beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Rais Muhammadu Buhari amesema Serikali imepanga kukopa zaidi ya Dola za Marekani Bilioni 10 ili kusaidia kufadhili Bajeti ya takriban Dola Bilioni 40 kwa mwaka 2022
Kumekuwa na malalamiko kuhusu Mikopo ya mara kwa mara ya Serikali lakini Rais Buhari ameendelea kusisitiza kiwango bado ni himilivu
Nigeria kwa kiasi kikubwa inategemea usafirishaji wa mafuta ghafi kwa mapato yake
======
Nigeria’s President Muhammadu Buhari says the government plans to borrow more than $10bn (£7.3bn) to help finance his 2022 budget of nearly $40bn.
There has been a public outcry about the government's frequent borrowing, but Mr Buhari - in a presentation to parliament - said that Nigeria’s debt level was still within sustainable limits.
Presenting the budget is an annual ritual, but there aren't enough reports about how the money is spent.
Nigeria’s economy is plagued by high inflation as the local currency continues to lose value against major foreign currencies like the US dollar and pound sterling.
Nigeria is mainly dependent on the export of crude oil for its revenue.
Source: BBC
Kumekuwa na malalamiko kuhusu Mikopo ya mara kwa mara ya Serikali lakini Rais Buhari ameendelea kusisitiza kiwango bado ni himilivu
Nigeria kwa kiasi kikubwa inategemea usafirishaji wa mafuta ghafi kwa mapato yake
======
Nigeria’s President Muhammadu Buhari says the government plans to borrow more than $10bn (£7.3bn) to help finance his 2022 budget of nearly $40bn.
There has been a public outcry about the government's frequent borrowing, but Mr Buhari - in a presentation to parliament - said that Nigeria’s debt level was still within sustainable limits.
Presenting the budget is an annual ritual, but there aren't enough reports about how the money is spent.
Nigeria’s economy is plagued by high inflation as the local currency continues to lose value against major foreign currencies like the US dollar and pound sterling.
Nigeria is mainly dependent on the export of crude oil for its revenue.
Source: BBC