nginda
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 744
- 82
Ndugu zangu wana JF nina mpango wa kusafiri kibinafsi kwenda Nigeria. Kama mnavyoelewa taratibu za nchi husika lazima zizingatiwe. Noamba kkuliza kama Tanzania kuna ofisi za unalozi wa Nigeria, na kama zipo ni eneo na mtaa gani? Nitashukurukwa msaadawenu.