manchoso
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 1,606
- 2,055
Wewe acha ujinga. Wewe unaweza kuoa mtoto wa miaka 6 hata kama umepewa? Ukipewa huwezi kumlea kama mtoto hadi umlale? Mwogopeni Mungu enyi watu wa gizani.
Alivyomlala Zena alikuwa mjane? Mbona mme wake alipotaka kumwacha alimwambie usimwache? Ujane gani huio?
Mariya, aliyekuwa mfanya kaiz wa mkewe alivyokuwa akimlala kwa wizi, hadi akafumaniwa, naye alikuwa mjane?
JIfunzeni kujua hhicho mnachokiabudu kwa kutokujue, kitawagharimu umilele.
Wewe hujui habari za huyo mtu. Alilala na zena aliyekuwa mke wa mfuasi wake!. subiri nitaanzisha uzi ili uone hicho mnachokiabudu ni kitu gani.
Tatizo la waislam, hamuwezi kueleza lolote kuhusu ubora wa dini yenu, zaidi ya kujiahani kwa kusema habari za imani za walioshindwa.
Kwa hiyo, mungu wenu anasimamisha uungu wake wa gizani kwa sababu ya "Wakristo wanaoshindwa kutembea katika imani".
Wanaofanya mapenzi nje ya ndoa, ni waKristo wenye dhambi, walioshindwa, lakini maagizo ya Imani ya Mungu wa kweli hayak o hivo. Hata wao wanalijua kwamba wanashida.
Sasa huwezi kuona kwamba Kristo amesimama katika Kweli kwa kuwa Yeye ni Mtakatifu, Njia Kweli na Uzima, na anataka watu wawe watakatifu? Huoni kwamba pamoja na dhambi za binadamu, lakini bado anaita watu watubu na kuziacha?. Ila ala ndiye anawashawishi wafanya dhambi ? Huyo ala siye shetani kwa kuwa anataka watu wamuasi Mungu? Unawezaje kumwita Mungu, ala ambaye anafundisha watu wamuasi Mungu?
Acha nianzishe uzi wa kukuelezea hayo maovu ya ala, namna alivyomshauri mohamedi afanye ushirikina, akamhadaa aabudu mawe kwa imani ya watoto watatu wa kike wa ala na.k.
Kama hujui uistukane uliza kujua. maana siku inakuja, hutakuwa na nafasi ya kkuelewa tena.
Kwanza angalia hapa.
yesu hakuwa mkristo kama ulivyojazwa sumu na kuamini
kama aisha alishavunja ungo kuna ubaya gani kumuoa??
huyo zena mbona umemshika sana Muhammad hajapata kuwa na mke anaitwa zena wewe
mie nimeisoma biblia nimeisoma quran siufati uislamu kwa mkumbo nimeusoma nikaulewa na hakuna dini ya kweli kama uislamu huu ndo ukweli ila sishangai kwani hakuna Nabii aliekosa wapinzani
halafu eti unataka kuingia mtegoni ujivue nguo yaani unasema waislamu hatuna chochote cha kueleza kuhusu ubora wa dini yetu?????
Labda nieleze wew mambo kumi bora kuhusu ubora wa dini yako kisha nikueleze mambo kumi bora kuhusu uislamu kisha mwenye akili apime ipi dini ya kweli ya Mungu.
hatuufati uislamu kwa bahati mbaya bro hii ni kauli ya kweli kutoka kwa Mungu