Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 11,634
- 26,373
Kuhusu hilo sifaham ila nilichozungumzia ni kitendo cha hao wanamgambo wenye msimamo mkali kwa kitendo walichokifanya hawamuwakilishi MunguKwa ufahamu wako, huo uislam ni imani ya Mungu mwumbaji wa vitu vyote, AU ni tawi la sanaa za maigizo ya shetani aitwaye kwa kilugha cha wafuasi wake kwemba ni ala?