pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Kukemea ni kukemea na kuzuia ndio kugumu, mwanadamu akishirikiana na shetani ni ngumu kumshinda kwa mbinu,ni jukumu lenu waislam kukemea hao watu wasitumie kivuli cha dini yenu ila kukaa kwenu kimya kunehalalisha ubaya WAP uwe ndo ubaya wa uislamu. , mtu akimwanyooshea kidole msilalame
Hivi kwa mfano unaanzaje kumzuia mtu asivae kanzu na kofia(ingawa kiuhakika kanzu na kofia sio kuwa ndio atakuwa muislamu) kufanya uchafu wanaoufanya?
Au wale wanaovaa misalaba kifuani na huku wanatifuana waziwazi kwenye picha za ngono hivi ndio wanawakilisha ukristo?
Au ndio umefundisha hivyo?bila shaka siyo
So tupunguze mihemko tujaribu kuwa waadilifu tunaweza kutoa maamuzi sahihi