kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,182
- 12,286
Huyu jamaa anaongea kama vile maisha ni rahisi saaaana angesema hata kuanzia million 30,40 ama 50 huko ndo apate hiyo million 2 ningemuelewa.Milioni 12, halafu upate faida ya milioni 2 kwa mwezi!! Ukifanikiwa kupata hiyo biashara unishirikishe na mimi niifanye aisee!!
Hiyo faida siyo ya mchezo hata kidogo!!
Sent using Jamii Forums mobile app