Nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa milion 12

Nenda katika mtaa unaotaka kuchukua frame. Na inategemea, nenda kwenye mtaa wa biashara unayoitaka.
Ukiwa huna mere mind ya unachotaka hutoona unachotaka. Kkoo ipo busy.
Ukitaka nguo nenda mtaa wa nguo frame tupu zipo nyingiiiii saaaaana.
Utashindwa wewe. Na kila mtaa una watu wake. Uliza wauza maduka au wapo wataalamu wa mambo hayo(madalali) chap unapata frame.

Shukran mkuu.
 
Njoo kilombero,, Morogoro ufanye utafiti mdogo alafu uangalie biashara gani inakufaa maana uko kuna fursa nyingi Sana,,

But najua adi unapat m12 ushapanga la kufanya all in all njoo kilombero kuna fursa
Kilombero kuna fursa gan zaid ya kulima tu? Orodhesha zingine tafadhali..
 
Salaam Alleykhum,

Wadau kwa kutumia uzoefu wenu, nishaurini nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa million 12 nilionao ili kila mwisho wa mwezi at least nipate Net profit ya milioni mbili.

Nipo tayari kufanya biashara ktk mkoa wowote Tanzania au hata kama ni importation business kama mtaji unatosha nipo tayari.

Nipeni ushauri ili nami nitoboe.
toa millioni 5 nenda mkoani,kati ya mbeya,dodoma,mwanza nenda k awe wakala wa movies baada ya mwaka rudi hapa utupe mrejesho
 
Million 12 uingize million 2 kwa kwezi kama faida? Mkuu acha kufurahisha genge.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mil 12 haiwezi kuleta milioni 2 kwa mwezi ina maaana
Milioni 6 haziwezi kuzalisha milioni 1 kwa mwezi, ina maaana
Milioni 3 haziwezi kuzalisha laki 5 kwa mwezi, ina maana
Milioni1 na nusu haiwezi kuzalisha laki 2 na nusu ina maana
Laki 7 na nusu haiwezi kuzalisha laki 1 na 25elf kwa mwezi!!
Mbonavmimi hainiingii akilini?
Kwa mawazo ya wadau basi biashara hapa Tanzanua hazilipi.
Kwa hio laki 7 na ushee izalishe hamsini kwa mwezi?
Hebu fafanueni vipi mili 12 isizalishe milioni 2 kwa mwezi.
 
Salaam Alleykhum,

Wadau kwa kutumia uzoefu wenu, nishaurini nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa million 12 nilionao ili kila mwisho wa mwezi at least nipate Net profit ya milioni mbili.

Nipo tayari kufanya biashara ktk mkoa wowote Tanzania au hata kama ni importation business kama mtaji unatosha nipo tayari.

Nipeni ushauri ili nami nitoboe.
Kwa mtaji huo na kwa faida hiyo fanya chuma chakavu itakulipa sana
 
Kama mil 12 haiwezi kuleta milioni 2 kwa mwezi ina maaana
Milioni 6 haziwezi kuzalisha milioni 1 kwa mwezi, ina maaana
Milioni 3 haziwezi kuzalisha laki 5 kwa mwezi, ina maana
Milioni1 na nusu haiwezi kuzalisha laki 2 na nusu ina maana
Laki 7 na nusu haiwezi kuzalisha laki 1 na 25elf kwa mwezi!!
Mbonavmimi hainiingii akilini?
Kwa mawazo ya wadau basi biashara hapa Tanzanua hazilipi.
Kwa hio laki 7 na ushee izalishe hamsini kwa mwezi?
Hebu fafanueni vipi mili 12 isizalishe milioni 2 kwa mwezi.

Akili kubwa sana
 
Kama mil 12 haiwezi kuleta milioni 2 kwa mwezi ina maaana
Milioni 6 haziwezi kuzalisha milioni 1 kwa mwezi, ina maaana
Milioni 3 haziwezi kuzalisha laki 5 kwa mwezi, ina maana
Milioni1 na nusu haiwezi kuzalisha laki 2 na nusu ina maana
Laki 7 na nusu haiwezi kuzalisha laki 1 na 25elf kwa mwezi!!
Mbonavmimi hainiingii akilini?
Kwa mawazo ya wadau basi biashara hapa Tanzanua hazilipi.
Kwa hio laki 7 na ushee izalishe hamsini kwa mwezi?
Hebu fafanueni vipi mili 12 isizalishe milioni 2 kwa mwezi.
Kafanye biashara na hiyo hela ulete mrejesho mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kafanye biashara na hiyo hela ulete mrejesho mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ulirfanya biashara tuambie laki 750000 unapata faida sh. ngapi kwa mwezi.
Kwa mujibu wa mtoa mada 750000 anataranua apate sh 125000 kwa mwezi. Kwa mtazamo wako ndugu buashara hazilipi sasa sijui watu wanaishije huko mjini chini ya mtaji wa milioni moja.
 
Back
Top Bottom