Chukua tu million 8 chukua simu ndogo ndogo kwa ambazo sio smart phone,chukua na flash na memory then uwe unasambaza kwenye maduka ya kawaida utanishukuru sana.Salaam Alleykhum,
Wadau kwa kutumia uzoefu wenu, nishaurini nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa million 12 nilionao ili kila mwisho wa mwezi at least nipate Net profit ya milioni mbili.
Nipo tayari kufanya biashara ktk mkoa wowote Tanzania au hata kama ni importation business kama mtaji unatosha nipo tayari.
Nipeni ushauri ili nami nitoboe.
Chukua ushauri wote ila usije ukajichanganya ukaweka pesa kwenye kilimo, utafukia hiyo hela yote.Dagger-V nashukuru kwa ushauri mzuri.
Kwa kuheshimu mawazo ya wengine, naomba niseme kwamba ninapitia kila ushauri uliopo hapa then nauchambua na nikikwama napiga simu kwa waliotoa ushauri ili ku-share uzoefu.
Pia niwashukuru wote ambao wamekuja mpaka inbox kunishauri, nawathamini sana.
Wadau, naendelea kupokea ushauri, nafurahi sana mnapotoa mawazo yenu, Mbarikiwe sana.
Mbona unamtisha mkuu, why such warning?tudadavulie bc kdgChukua ushauri wote ila usije ukajichanganya ukaweka pesa kwenye kilimo, utafukia hiyo hela yote.
Kilimo cha Tanzania ni mchezo wa hasara. Mmoja kati ya 100 ndio wanafanikiwa.Mbona unamtisha mkuu, why such warning?tudadavulie bc kdg
Nisipotoa maoni yangu. Ntakua najinyima na nakunyima kitu mkuu. Kwanza i was interested kuona hiyo m12. Pili i was getting more interested kadri nilivyosoma thread, ni hivi;
1. Kuna jamaa hapa kakukazia sana swala la spear used. Miminaongezea hapa both used and new. Aisee kama alivyokaza, hii biashara inalipa haswaaa. Nunua mzigo weka hata chumbani kwako utaisha tu. Market your products. Hyo return ya 2m mbona ndogo sana. Used dubai,new china. Agiza usiogope. Fanya research then ona utafanya nini bora. Kama unavyoona magari yanavyonunuliwa, ndivyo hivyo spare. Zinanunuliwa kwa wingi. In a year utapiga hata milioni 500. Ukitulia na kukazana. Hii sio mahesabu ya kusema tu. Nakwambia from experience.
2. Ukishindwa vyote chukua frame kkoo, agiza mzigo wa nguo weka iwe jeans, tshirts, tights au hata chupi. Zinalipaaaaa saaaaaaana.
agiza mzigo wako china njoo uuze kkoo. Hata milioni 20 utapiga kwa siku. Faida hapo sichini ya milioni 2 kwa siku. Kkoo ni rahisi kwa nguo. Congo tower, aggrey nk.
boss.. biashara ni kupambana na uvumilivu. Hizo kazi zote zinahitaji uvumilivu na uthubutu. Ukileta mzigo week umeisha.
Ubber hailipi,bolt ndio habari ya mjini kwa sasaNunua ist ufanye ubber
Tuko pamoja mkuu. Tutafute pesa tule na kulala vizuri.Bro kama umenishawish vile, stay blessed bruv
Mkuu, hii biashara ipoje ipojeUbber hailipi,bolt ndio habari ya mjini kwa sasa
Muhimu sana sana: Soma hii thread niliyoweka link hapa chini:Salaam Alleykhum,
Wadau kwa kutumia uzoefu wenu, nishaurini nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa million 12 nilionao ili kila mwisho wa mwezi at least nipate Net profit ya milioni mbili.
Nipo tayari kufanya biashara ktk mkoa wowote Tanzania au hata kama ni importation business kama mtaji unatosha nipo tayari.
Nipeni ushauri ili nami nitoboe.
Nisipotoa maoni yangu. Ntakua najinyima na nakunyima kitu mkuu. Kwanza i was interested kuona hiyo m12. Pili i was getting more interested kadri nilivyosoma thread, ni hivi;
1. Kuna jamaa hapa kakukazia sana swala la spear used. Miminaongezea hapa both used and new. Aisee kama alivyokaza, hii biashara inalipa haswaaa. Nunua mzigo weka hata chumbani kwako utaisha tu. Market your products. Hyo return ya 2m mbona ndogo sana. Used dubai,new china. Agiza usiogope. Fanya research then ona utafanya nini bora. Kama unavyoona magari yanavyonunuliwa, ndivyo hivyo spare. Zinanunuliwa kwa wingi. In a year utapiga hata milioni 500. Ukitulia na kukazana. Hii sio mahesabu ya kusema tu. Nakwambia from experience.
2. Ukishindwa vyote chukua frame kkoo, agiza mzigo wa nguo weka iwe jeans, tshirts, tights au hata chupi. Zinalipaaaaa saaaaaaana.
agiza mzigo wako china njoo uuze kkoo. Hata milioni 20 utapiga kwa siku. Faida hapo sichini ya milioni 2 kwa siku. Kkoo ni rahisi kwa nguo. Congo tower, aggrey nk.
boss.. biashara ni kupambana na uvumilivu. Hizo kazi zote zinahitaji uvumilivu na uthubutu. Ukileta mzigo week umeisha.
Kwa biashara ya spare ndio maana nimemwambia weka home. Aanze mwezi anafungua frame kkoo.. kwa nguo aende tu hakuna shida.
MKUU,
MTAJI WA MILIONI 12,
UNATOSHA KULIPIA FREMU,
MATENGENEZO YA FREMU,
VIBALI NA
KUAGIZA MZIGO?
INTEREST IPO SANA YA HIYO BIASHARA PALE KARIAKOO,
ILA CHANGAMOTO NI KUPATA TAARIFA ZA KUTOSHA.
TUPE MWONGOZO.
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Kwa biashara ya spare ndio maana nimemwambia weka home. Aanze mwezi anafungua frame kkoo.. kwa nguo aende tu hakuna shida.
NAMI NASUBIRIA MAJIBU MWAFAKA KWENYE HILI.Hivi ukitaka frame kariakoo unamtafuta nani? sometimes naona kama frame zote zimejaaa sijawahi kuona frame ipo wazi.
Nenda katika mtaa unaotaka kuchukua frame. Na inategemea, nenda kwenye mtaa wa biashara unayoitaka.Hivi ukitaka frame kariakoo unamtafuta nani? sometimes naona kama frame zote zimejaaa sijawahi kuona frame ipo wazi.
Uber si ndiyo inakuwa na nauli za juu kidogo kuliko bolt?Ubber hailipi,bolt ndio habari ya mjini kwa sasa
Kwa sasa inalipa kweli hii biashara?nunua Toyota IST 2 kwa million 12 kila moja jumla 24.
weka uber au mpe mkataba mtu kwa miaka 3 awe analeta hela .
hela unaiona chapu
Million 12 uingize million 2 kwa kwezi kama faida? Mkuu acha kufurahisha genge.Mkuu, mpaka muda huu sina biashara yoyote wala project yoyote ndo maana nimekuja hapa kuomba ushauri. Project gani hapo itafaa mkuu ili kila mwezi angalau nipate 2 mil. kama faida