Nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa milion 12

Salaam Alleykhum,

Wadau kwa kutumia uzoefu wenu, nishaurini nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa million 12 nilionao ili kila mwisho wa mwezi at least nipate Net profit ya milioni mbili.

Nipo tayari kufanya biashara ktk mkoa wowote Tanzania au hata kama ni importation business kama mtaji unatosha nipo tayari.

Nipeni ushauri ili nami nitoboe.
Chukua tu million 8 chukua simu ndogo ndogo kwa ambazo sio smart phone,chukua na flash na memory then uwe unasambaza kwenye maduka ya kawaida utanishukuru sana.
 
Dagger-V nashukuru kwa ushauri mzuri.
Kwa kuheshimu mawazo ya wengine, naomba niseme kwamba ninapitia kila ushauri uliopo hapa then nauchambua na nikikwama napiga simu kwa waliotoa ushauri ili ku-share uzoefu.
Pia niwashukuru wote ambao wamekuja mpaka inbox kunishauri, nawathamini sana.
Wadau, naendelea kupokea ushauri, nafurahi sana mnapotoa mawazo yenu, Mbarikiwe sana.
Chukua ushauri wote ila usije ukajichanganya ukaweka pesa kwenye kilimo, utafukia hiyo hela yote.
 
Nisipotoa maoni yangu. Ntakua najinyima na nakunyima kitu mkuu. Kwanza i was interested kuona hiyo m12. Pili i was getting more interested kadri nilivyosoma thread, ni hivi;

1. Kuna jamaa hapa kakukazia sana swala la spear used. Miminaongezea hapa both used and new. Aisee kama alivyokaza, hii biashara inalipa haswaaa. Nunua mzigo weka hata chumbani kwako utaisha tu. Market your products. Hyo return ya 2m mbona ndogo sana. Used dubai,new china. Agiza usiogope. Fanya research then ona utafanya nini bora. Kama unavyoona magari yanavyonunuliwa, ndivyo hivyo spare. Zinanunuliwa kwa wingi. In a year utapiga hata milioni 500. Ukitulia na kukazana. Hii sio mahesabu ya kusema tu. Nakwambia from experience.

2. Ukishindwa vyote chukua frame kkoo, agiza mzigo wa nguo weka iwe jeans, tshirts, tights au hata chupi. Zinalipaaaaa saaaaaaana.
agiza mzigo wako china njoo uuze kkoo. Hata milioni 20 utapiga kwa siku. Faida hapo sichini ya milioni 2 kwa siku. Kkoo ni rahisi kwa nguo. Congo tower, aggrey nk.

boss.. biashara ni kupambana na uvumilivu. Hizo kazi zote zinahitaji uvumilivu na uthubutu. Ukileta mzigo week umeisha.

Bro kama umenishawish vile, stay blessed bruv
 
BADILISHA MTAZAMO WAKO KUHUSU FAIDA YA 2M KWA MWEZI HARAKA HARAKA, KUWA NA MTAZAMO KUILINDA HELA YAKO NA KUPATA FAIDA POLEPOLE INAYOKUA YA UWEKEZAJI WA BAADAYE.

1Nunua Boda bona 4 au 5 wape vijana wapige kazi, anza na kawaida na mwaka wa pili wape mkataba
2) Car Wash - tafuta eneo zuri kwa kuosha magari, nunua vifaa kama 5M, iliyobaki lipia kodi....inalipa sana
3) Fuga mbuzi kuanzia100 na kuendelea, anza na 50 baada ya miezi 6 utakuwa unauza karibu 10 kila mwezi

TAHADHARI ..... USIWE NA HARAKA
 
Salaam Alleykhum,

Wadau kwa kutumia uzoefu wenu, nishaurini nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa million 12 nilionao ili kila mwisho wa mwezi at least nipate Net profit ya milioni mbili.

Nipo tayari kufanya biashara ktk mkoa wowote Tanzania au hata kama ni importation business kama mtaji unatosha nipo tayari.

Nipeni ushauri ili nami nitoboe.
Muhimu sana sana: Soma hii thread niliyoweka link hapa chini:
 
Nisipotoa maoni yangu. Ntakua najinyima na nakunyima kitu mkuu. Kwanza i was interested kuona hiyo m12. Pili i was getting more interested kadri nilivyosoma thread, ni hivi;

1. Kuna jamaa hapa kakukazia sana swala la spear used. Miminaongezea hapa both used and new. Aisee kama alivyokaza, hii biashara inalipa haswaaa. Nunua mzigo weka hata chumbani kwako utaisha tu. Market your products. Hyo return ya 2m mbona ndogo sana. Used dubai,new china. Agiza usiogope. Fanya research then ona utafanya nini bora. Kama unavyoona magari yanavyonunuliwa, ndivyo hivyo spare. Zinanunuliwa kwa wingi. In a year utapiga hata milioni 500. Ukitulia na kukazana. Hii sio mahesabu ya kusema tu. Nakwambia from experience.

2. Ukishindwa vyote chukua frame kkoo, agiza mzigo wa nguo weka iwe jeans, tshirts, tights au hata chupi. Zinalipaaaaa saaaaaaana.
agiza mzigo wako china njoo uuze kkoo. Hata milioni 20 utapiga kwa siku. Faida hapo sichini ya milioni 2 kwa siku. Kkoo ni rahisi kwa nguo. Congo tower, aggrey nk.

boss.. biashara ni kupambana na uvumilivu. Hizo kazi zote zinahitaji uvumilivu na uthubutu. Ukileta mzigo week umeisha.

MKUU,
MTAJI WA MILIONI 12,

UNATOSHA KULIPIA FREMU,
MATENGENEZO YA FREMU,
VIBALI NA
KUAGIZA MZIGO?

INTEREST IPO SANA YA HIYO BIASHARA PALE KARIAKOO,
ILA CHANGAMOTO NI KUPATA TAARIFA ZA KUTOSHA.

TUPE MWONGOZO.

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
 

MKUU,
MTAJI WA MILIONI 12,

UNATOSHA KULIPIA FREMU,
MATENGENEZO YA FREMU,
VIBALI NA
KUAGIZA MZIGO?

INTEREST IPO SANA YA HIYO BIASHARA PALE KARIAKOO,
ILA CHANGAMOTO NI KUPATA TAARIFA ZA KUTOSHA.

TUPE MWONGOZO.

Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Kwa biashara ya spare ndio maana nimemwambia weka home. Aanze mwezi anafungua frame kkoo.. kwa nguo aende tu hakuna shida.
 
Hivi ukitaka frame kariakoo unamtafuta nani? sometimes naona kama frame zote zimejaaa sijawahi kuona frame ipo wazi.
Nenda katika mtaa unaotaka kuchukua frame. Na inategemea, nenda kwenye mtaa wa biashara unayoitaka.
Ukiwa huna mere mind ya unachotaka hutoona unachotaka. Kkoo ipo busy.
Ukitaka nguo nenda mtaa wa nguo frame tupu zipo nyingiiiii saaaaana.
Utashindwa wewe. Na kila mtaa una watu wake. Uliza wauza maduka au wapo wataalamu wa mambo hayo(madalali) chap unapata frame.
 
Back
Top Bottom