Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,033
- 173,710
Mie sasa nataka rafiki kama wewe ili nikuuzie unavyopenda.Kila mtu ni mjuaji zaidi ya wenzake si kuvaa tu hata vipodozi
Mie sasa nataka rafiki kama wewe ili nikuuzie unavyopenda.Kila mtu ni mjuaji zaidi ya wenzake si kuvaa tu hata vipodozi
Itabidi tutaftane tubadilishane uzoefu.Nilifanya biashara sehemu fulani jirani yangu alikuwa anauza mpaka viatu vya laki mbili kwa buku buku kwa kila piece of 👟 na faida ni nusu jero kila piece
Kama mmoja kaja ofisini kwangu juzi anataka hereni walizovaa shamsa na mastaa wengineo wa insta kama pea 4 hv, na nilimuuzia bei wala hajali.Hahah hela yoyote mpo radhi kutoa alimradi nguo awe kaivaa staa sio. Hapo ndipo napowakubali watoto wa kike yani, kwenye biashara huwa hamtuangushi
Hahah mtoto wakike sio bahili kwenye kuvaa na wengi wanapenda haswaa yani kila weekend ni shopping. Hapo ukawabamiza haswaa!!!Kama mmoja kaja ofisini kwangu juzi anataka hereni walizovaa shamsa na mastaa wengineo wa insta kama pea 4 hv, na nilimuuzia bei wala hajali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sanaaa, hakuna kuwaonea huruma.Hahah mtoto wakike sio bahili kwenye kuvaa na wengi wanapenda haswaa yani kila weekend ni shopping. Hapo ukawabamiza haswaa!!!
Ok
Biashara za ajabu ajabu zina pesa sana, japo zinadharaurikaKweli mkuu, hilo nakubali na mie ndio maana nataka nijimix kwenye biashara za kimachinga. Zina hela sana japo watu watanishangaa ila nina malengo yangu katika biashara. Unakata pair za buku buku!
Mwanamke anafanya shopping pale atakapoona kitu kunachomvutia cha muhimu ni yeye kuwa na hela tu. Tofauti na wanaume hata kama ni viatu ni lazima uweke bajeti ya shopping.
Hakuna shida mkuuItabidi tutaftane tubadilishane uzoefu
Inawezekana ila afanye street vendorKwa mtaji wako vipodozi ni ndogo sana,
Fungua ya vitu vya nyumbani ila zingatia eneo liwe na watu wengi wakazi pamoja na wapita njia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara ya vifaa vya ujenzi si inahitaji mtaji mkubwa sana au unaanza kuuza vile vya kawaida tu ebu toa maelezo kwa, mwenye mtaji mdogo.Dah! Mkuu kwa huo mtaji ningeupata mimi ningefungua duka la vifaa vya ujenzi. Vipodozi ni biashara nzuri ila ina risk sana, hasa wakija wakaguzi na ujue pia asilimia 90 ya vipodozi vinavyouzika ni vile vilivyopigwa marufuku na mamlaka ya chakula na dawa Tanzania!
Wengi huletewa mzigo toka zambia na kongo na watu wenye mitaji mikubwa ,wanaojuana na wakubwa serikalini
ukitaka kufungua , jaribu kufanya utafiti na mwenge!
Nakutakia maamuzi yenye mafanikio mema!
Mie nahitaji naweza pata vipi.Mimi nina client wangu anayefanya biashara hiyo. Ila vipodozi vyake ni ya asilia anatengeneza mwenyewe na si za nje. Kama utakuwa na interest ni pm, nitakupa contact zake.
sijui faida yake ni kubwa kwa sababu bleachers ni wengi.
Wanao jipodoaBleachers ni watu gani mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app