Ocean road
JF-Expert Member
- Jul 15, 2017
- 631
- 304
Mtu anielekeze unatumiaje private message ili niwe nawatumia madem ni nawakubalii humu jf
Wa kishua
Wa kishua
Hapo hapo kwenye reply unaanza na hiyo alama usiache nafasi andika jina la huyo demu mbele yake.
Kwann
Cute b mambo nielekeze mremboNunua alovera na majani ya mwarobaini.
Changanya halafu chemsha na maji kidogo,
Kamua unywe..
Utakuwa umeshatuma private massage
Sent using Jamii Forums mobile app
Oyaa mzee Baba sijakusoma freshFanya hivi
Weka hiki kialama @afu weka jina la demu unayetaka kumuandikia .
Andika hio meseji inakuwa imemfikia ila sheria za JF unaweka na namba yako watakupigia wengi sana.
Ukiweka picha yako ndio kabisa utawakbia wapo wengi sana wanatafuta watu.
Curious gal mamboTutaona mengi humu.......ngoja niendelee kuangalia hii series
PoaCurious gal mambo
Wa kishua