Samawia
JF-Expert Member
- Dec 6, 2017
- 594
- 458
1: Kuna kitu Kama mvuke hivi au gesi kinachotoka unapokuwa unamenya chungwa chenza au limao au Hata ukikata kitunguu, kwa Kiswahili kinaitwaje?
2: Naujua upupu ni mmea ambao unawasha sana, lakini kuna majani pia ambayo sio upupu lakini yanawasha ,mfamo miwa mianzi mahindi nk ,je hicho kilichoko kwenye hiyo mimea niliyoita kinaitwaje?
3: Gari inapokuwa imepakia mzigo mzito inatoa sauti ambayo inaashiria kulemewa na huo mzigo, au mtu anapokuwa anasukuma haja ndogo au kubwa Kuna sauti inamtoka kooni, je hicho kitendo kinaitwaje?
4: Mke/mume anamwita mzazi wa mwenzi wake mama/baba mkwe, je baba/mama mkwe atamwitaje mke/mume wa mwanaye?
Sent using Jamii Forums mobile app
2: Naujua upupu ni mmea ambao unawasha sana, lakini kuna majani pia ambayo sio upupu lakini yanawasha ,mfamo miwa mianzi mahindi nk ,je hicho kilichoko kwenye hiyo mimea niliyoita kinaitwaje?
3: Gari inapokuwa imepakia mzigo mzito inatoa sauti ambayo inaashiria kulemewa na huo mzigo, au mtu anapokuwa anasukuma haja ndogo au kubwa Kuna sauti inamtoka kooni, je hicho kitendo kinaitwaje?
4: Mke/mume anamwita mzazi wa mwenzi wake mama/baba mkwe, je baba/mama mkwe atamwitaje mke/mume wa mwanaye?
Sent using Jamii Forums mobile app