Nifuate hatua zipi ili wateja wanilipe online (Tigopesa, Mpesa, Airtelmoney)

Kelela

Senior Member
Nov 7, 2020
186
269
Nina project yangu ambayo natarajia kuianza January 2021.

Katika project hiyo nitataka wateja waweze kunilipa kupitia TIGOPESA, MPESA NA AIRTELMONEY online. Yaani anaweka namba yake na password pesa inakatwa automatically kama vile ukilipia tangazo Kupatana.

Naomba kujua nifuate hatua zipi ili niweze kufanikisha hilo? Ahsanteni
 
Kwa tigo me nakumbuka walitufata wenyewe ofisini enzi zile wakaisajili namba yangu mteja akija km mari inauzwa elf 5000 analipa hiyo hiyo elf 5000 ye anafanya kama anarusha tu halafu mm sikwati chochote katika kutoa
Sasa sijajua mpk sasa bado ipo hiyo huduma ama vipi labda uulize kwenye ofisi zao mana wakati inaanza walitufata wenyewe kutushawushi tutuiumge ila baadae watu wakawa wanaenda ofisini kwao kujiunga
Kwa sasa hiyo namba situmii tena ba hiyo ofisi sina ndo mana sijajua km ipo hiyo huduma ama ilishakufa
 
Wewe toa huduma bora tu sisi kama wateja tutakurushia hata kwenye namba yako tukitafuta hiyo huduma.

Ni sawa na leo google waseme ili uweze ku access apps ambazo zipo ktk store yetu lazima ulipie sh miambili 200/- tumia namba hii... Watapokea hizo fedha mpaka watazichoka kwanini? Kwasababu huduma yao ni bora.
 
Kwa tigo me nakumbuka walitufata wenyewe ofisini enzi zile wakaisajili namba yangu mteja akija km mari inauzwa elf 5000 analipa hiyo hiyo elf 5000 ye anafanya kama anarusha tu halafu mm sikwati chochote katika kutoa
Sasa sijajua mpk sasa bado ipo hiyo huduma ama vipi labda uulize kwenye ofisi zao mana wakati inaanza walitufata wenyewe kutushawushi tutuiumge ila baadae watu wakawa wanaenda ofisini kwao kujiunga
Kwa sasa hiyo namba situmii tena ba hiyo ofisi sina ndo mana sijajua km ipo hiyo huduma ama ilishakufa
Ahsante
 
Nina project yangu ambayo natarajia kuianza January 2021.

Katika project hiyo nitataka wateja waweze kunilipa kupitia TIGOPESA, MPESA NA AIRTELMONEY online. Yaani anaweka namba yake na password pesa inakatwa automatically kama vile ukilipia tangazo Kupatana.

Naomba kujua nifuate hatua zipi ili niweze kufanikisha hilo? Ahsanteni
Kwanza hakikisha umesajiri kampuni na una leseni ya hiyo biashara.

Makampuni yote ile Tigopesa, Mpesa, AirtelMoney, DPO, Pesapal wote wana taka kampuni iliyo sajiriwa.

Then utahitaji kuwa na Bank Account. Preferably account ya Kampuni. Malipo yote yatakuwa yanawekwa kwenye account ya benki hata kama mtu kalipa kwa Tigopesa.

Alafu, utahitaji kuwasiliana na kampuni husika watakupa form za kujaza na access ya API kwa ajili ya integration.
 
Back
Top Bottom