Nifikishieni salamu hizi kwa mpenzi wangu!

cheusimangala

JF-Expert Member
Feb 27, 2010
2,585
497
Ijumaa ya leo najisikia kutuma salamu za kimahaba moja kwa moja kutoka katika studio zilizoko moyoni mwangu zifike kwako wewe unayeufanya moyo wangu ustuke kama umepigwa na radi pindi ninapokuwaza.
Naona nisikutaje jina sababu unajua sina mwingine zaidi yako wewe asali ya moyo wangu mpenzi wa maisha yangu!
Baby i wish you a wonderful week-end.
IM SO GLAD TO HAVE U BAIBE IN MY LIFE!
:A S kiss::A S kiss::A S kiss::A S-rose::A S-rose::A S 101::A S 101::hug::hug:
 
Ijumaa ya leo najisikia kutuma salamu za kimahaba moja kwa moja kutoka katika studio zilizoko moyoni mwangu zifike kwako wewe unayeufanya moyo wangu ustuke kama umepigwa na radi pindi ninapokuwaza.
Naona nisikutaje jina sababu unajua sina mwingine zaidi yako wewe asali ya moyo wangu mpenzi wa maisha yangu!
Baby i wish you a wonderful week-end.
IM SO GLAD TO HAVE U BAIBE IN MY LIFE!
:A S kiss::A S kiss::A S kiss::A S-rose::A S-rose::A S 101::A S 101::hug::hug:

:hungry::hungry::hungry::hungry::hungry:
 
Hahahahahaaaaa JF pamegeuka studio ya mahaba, nimeipenda sana! ila kama mpenzi wako ndo yuleyule ujue leo ninae hapa! kanisomea mwenyewe hiki ulichoandika!!! ntamrudisha kesho jioni na kama huamini utaona atakuambia nilikua msibani yule beberu wetu alifariki! ukisikia hivyo tu utakumbuka maneno yangu!!!
 
Hahahahahaaaaa JF pamegeuka studio ya mahaba, nimeipenda sana! ila kama mpenzi wako ndo yuleyule ujue leo ninae hapa! kanisomea mwenyewe hiki ulichoandika!!! ntamrudisha kesho jioni na kama huamini utaona atakuambia nilikua msibani yule beberu wetu alifariki! ukisikia hivyo tu utakumbuka maneno yangu!!! KWA KWELI NI BINTI MWENYE HESHIMA SANA NIMEMPENDA MNO! NTAMRUDISHA KESHO! umeskia eeehh
 
Duuu hizi salamu ningezipata mimi? hakika kamoyo kangu kangeshtuka.....hongera zake na salamu zake zimfikie!
 
Hahahahahaaaaa JF pamegeuka studio ya mahaba, nimeipenda sana! ila kama mpenzi wako ndo yuleyule ujue leo ninae hapa! kanisomea mwenyewe hiki ulichoandika!!! ntamrudisha kesho jioni na kama huamini utaona atakuambia nilikua msibani yule beberu wetu alifariki! ukisikia hivyo tu utakumbuka maneno yangu!!! KWA KWELI NI BINTI MWENYE HESHIMA SANA NIMEMPENDA MNO! NTAMRUDISHA KESHO! umeskia eeehh

sikujua kuwa mie ni HE is a boy!
 
Ipo siku nitawaambia maana ya jina hili ila hiyo si maana yake ! Atanikisema kuwa ZIPU WAZI WAZI nitakuwa najisumbua tu kwani itapigwa na Upepo bure na baridi iliyopo hapa.
zishamfikia.
eti nasikia kirefu cha jina lako ni ZIPU WAZI WAZI.
 
Dah! ni nani huyo mwenye bahati?? Mbona bahati hizi zinatupitia mbali..........
 
Ijumaa ya leo najisikia kutuma salamu za kimahaba moja kwa moja kutoka katika studio zilizoko moyoni mwangu zifike kwako wewe unayeufanya moyo wangu ustuke kama umepigwa na radi pindi ninapokuwaza.
Naona nisikutaje jina sababu unajua sina mwingine zaidi yako wewe asali ya moyo wangu mpenzi wa maisha yangu!
Baby i wish you a wonderful week-end.
IM SO GLAD TO HAVE U BAIBE IN MY LIFE!
:A S kiss::A S kiss::A S kiss::A S-rose::A S-rose::A S 101::A S 101::hug::hug:

Salamu zimefika sorry sijaziona kabla network ilikuwa inasumbua Its very sweet of you mpaka machozi yananilenga have a wonderful weekend too without you there is no air to breath i dedicate the song 'no air' by jordin sparks which sums up how i feel and how important you are to me,thanks again.:A S-rose::A S kiss:
 
Ijumaa ya leo najisikia kutuma salamu za kimahaba moja kwa moja kutoka katika studio zilizoko moyoni mwangu zifike kwako wewe unayeufanya moyo wangu ustuke kama umepigwa na radi pindi ninapokuwaza.
Naona nisikutaje jina sababu unajua sina mwingine zaidi yako wewe asali ya moyo wangu mpenzi wa maisha yangu!
Baby i wish you a wonderful week-end.
IM SO GLAD TO HAVE U BAIBE IN MY LIFE!
:A S kiss::A S kiss::A S kiss::A S-rose::A S-rose::A S 101::A S 101::hug::hug:
thanks love ..........................!
love you more............!
Jiandae kwa out ya kufa mtu leo jioni.............!
:love::love::clap2::clap2::A S-rose::A S-rose::A S-rose:
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom