Shemela una nini lakini?Watu8 nisaidie kumuuliza mleta mada chura ipo?na sura ni ya maza ama faza?
Ili tangazo likamilike
Asking for a friend
NakaziaLIPIA TANGAZO
Inaonyesha una bonge la chura ndo mana maza hataki uvae suruali, hongera sana kwa kubarikiwa tacoNina maziwa madogo nisipovaa sidilia yanachongoka kwasababu hayajalala kwaiy chuchu zinasimama nikivaa ivo najikuta tu sipo comfortable nikivaa sidilia kifua kinauma na mgongo kwani naiforce tu inasaidia nguo kukaa vizuri zaidi,na kutosimamisha chuchu.
Nina miaka ishirini na kitu Nina maziwa as if ndo yanaanza kukua, sina raha na sidilia lakini nikijiachia naona kama nitasimangwa ha ha ha, nikivaa nguo fupi au suruali mama anakasirika sana lakini mdogo angu ana miaka ishiri na ivyo ivyo akivaa wala akasiriki sielewi na ata akivaa ya kubana wala hamsemi shughuli ipo kwangu sasa jer nikijiachia na vimaziwa vyangu kama vya mtoto dah Nina mtihani.
Sasa nguvu zote alikuwa anamalizia kwenye bange badala ya kukuza hayo maziwa.Nishamtia kibut staki bangi mih ha ha ha
FukufukuYapake Utomvu wa mapapaii....au Kuna kadudu Fulani mesahau jina, unakashika na kukiweka kwa ziwaa ...
Jambo Hili Nakazia GumuAcha utani yani hata picha ya hayo maziwa haujaweka halafu unataka ushauri!!!!!
Pm iko wazi?Nina maziwa madogo nisipovaa sidilia yanachongoka kwasababu hayajalala kwaiy chuchu zinasimama nikivaa ivo najikuta tu sipo comfortable nikivaa sidilia kifua kinauma na mgongo kwani naiforce tu inasaidia nguo kukaa vizuri zaidi,na kutosimamisha chuchu.
Nina miaka ishirini na kitu Nina maziwa as if ndo yanaanza kukua, sina raha na sidilia lakini nikijiachia naona kama nitasimangwa ha ha ha, nikivaa nguo fupi au suruali mama anakasirika sana lakini mdogo angu ana miaka ishiri na ivyo ivyo akivaa wala akasiriki sielewi na ata akivaa ya kubana wala hamsemi shughuli ipo kwangu sasa jer nikijiachia na vimaziwa vyangu kama vya mtoto dah Nina mtihani.
Ebu njoo chemba unieleweshe, sijakusomaHa ha Sidilia inaniumiza inanibana tu ata nikiweka pini za mwisho bado naumia tu kifua na mgongo lakini nisipovaa nguo hazikai poa so lazima nivae!!!
Karibu dukani kwangu nikuuzie sindilia ya kikorea utaipenda na hayata uma tenaNina maziwa madogo nisipovaa sidilia yanachongoka kwasababu hayajalala kwaiy chuchu zinasimama nikivaa ivo najikuta tu sipo comfortable nikivaa sidilia kifua kinauma na mgongo kwani naiforce tu inasaidia nguo kukaa vizuri zaidi,na kutosimamisha chuchu.
Nina miaka ishirini na kitu Nina maziwa as if ndo yanaanza kukua, sina raha na sidilia lakini nikijiachia naona kama nitasimangwa ha ha ha, nikivaa nguo fupi au suruali mama anakasirika sana lakini mdogo angu ana miaka ishiri na ivyo ivyo akivaa wala akasiriki sielewi na ata akivaa ya kubana wala hamsemi shughuli ipo kwangu sasa jer nikijiachia na vimaziwa vyangu kama vya mtoto dah Nina mtihani.
Niko serious, njoo pm. Tafadhali njoo pm.Nina maziwa madogo nisipovaa sidilia yanachongoka kwasababu hayajalala kwaiy chuchu zinasimama nikivaa ivo najikuta tu sipo comfortable nikivaa sidilia kifua kinauma na mgongo kwani naiforce tu inasaidia nguo kukaa vizuri zaidi,na kutosimamisha chuchu.
Nina miaka ishirini na kitu Nina maziwa as if ndo yanaanza kukua, sina raha na sidilia lakini nikijiachia naona kama nitasimangwa ha ha ha, nikivaa nguo fupi au suruali mama anakasirika sana lakini mdogo angu ana miaka ishiri na ivyo ivyo akivaa wala akasiriki sielewi na ata akivaa ya kubana wala hamsemi shughuli ipo kwangu sasa jer nikijiachia na vimaziwa vyangu kama vya mtoto dah Nina mtihani.