smati
Senior Member
- Dec 24, 2010
- 149
- 5
NINA Jirani na ninao ishi kuna msichana (BINTI WA MWENYE NYUMBA NILIPO PANGA), ni rafiki na jirani yangu (tanga).
Kitu ninacho shindana naye, anataka nimwoe. Na imefika wakati sasa hataki nionekane na mwanamke wingine pamoja na kuwa nimemwambia wazo hilo kwangu halipo.
Lakini bado anang'ang'ania hadi anatoa machozi sometimes.
Yupo radhi aache mbambo yake kwa ajili yangu na ninahisi wazazi wake wanajua kuwa mimi ndoo mkwe wao wakati maskini sina hata wazo hilo.
Sina mpango wa kumwoa, na wala haniingii akilini. Nategemea nihame tuu nikaishi mbali.
Kitu ninacho shindana naye, anataka nimwoe. Na imefika wakati sasa hataki nionekane na mwanamke wingine pamoja na kuwa nimemwambia wazo hilo kwangu halipo.
Lakini bado anang'ang'ania hadi anatoa machozi sometimes.
Yupo radhi aache mbambo yake kwa ajili yangu na ninahisi wazazi wake wanajua kuwa mimi ndoo mkwe wao wakati maskini sina hata wazo hilo.
Sina mpango wa kumwoa, na wala haniingii akilini. Nategemea nihame tuu nikaishi mbali.