Mbaliche
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 294
- 61
wakuu naomba ushauri wenu! Nina mahsiano ya kimapnz na huyu dada ya pata mie 9 sasa. Simjui ndg yake hata mmoja, wala hamjui ndg yang yeyote hata kw2 hakujui. Lakini ametokea kuniamini kpta kiac, kwni anini kabidhi pesa ni mwekee, ambazo maishani mwangu cjawai zshika. Na hataki nilale kwangu anataka nikae kwake. Kfupi kazi anayo fanya na pesa anayo
nikabidhi nitofaut kabisa.
nikabidhi nitofaut kabisa.