Ili neno COVID moja tisa sasa kwangu limekuwa chukizo na kunikatisha tamaa ya maisha kutokana na taarifa mbali mbali ninazoziona mitandaoni kuna mitandao naipenda lakini kila nikiingia saizi ni taarifa za covid tu hasa ninaposoma mambo ya dawa ambazo zinatangazwa tangazwa ovyo bila uthibitisho ivi kwanini wasiache kutangaza tangaza dawa na badala yake kusubiri dawa ambayo itakuwa proved kabisa kama ndo tiba sahihi ya corona kama zilivyo dawa nyingine?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app