ymollel
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 3,096
- 2,273
Njoo mimi nikuonyeshe mzungu wa marekani mwenye ukoo wa mollel na mchagga mwenye ukoo wa mollel. Tunawauzia ukoo tu hamna shida hata wewe tunakupokea na kabila lako tunakupa ukoo wa LaizerHuyo jamaa ni Mbishi nimemwambia nikamtembeze kwa jamii za Waarusha waislam yangu Babu zao, haya hebu muulize:-
- Mtangazaji Hemed Kivuyo sio Mmasai?
- Amina Mollel sio Mmasai?
- Zahara Mollel sio Mmasai?
Jamaa atakuwa anaishi Longido au Ngaramtoni sio Arusha mjini