Mimi mstaarabu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 258
- 566
- Thread starter
- #101
Ndio kubwa tuNakazia apo apo mzee.
Ndio kubwa tuNakazia apo apo mzee.
aiseeePicha iko wapi... Usije kuwa mfupi kama mihan gas ya kilo 14.3 alafu uanze kusumbua watu hapa
Ucjal utampata zidisha maombiJamani napenda mbegu za kiarusha
Mimi ni mtu wa Morogoro (Mluguru)short and beatiful. Young girl 23 years. Nipeni mbinu za kuwa na Muarusha au Moshi Boys ambaye ni Muislam wapo maeneo gani?
Una wapendea nini? Wakat wachafu walev, meno yao mabovuJamani napenda mbegu za kiarusha
Mimi ni mtu wa Morogoro (Mluguru)short and beatiful. Young girl 23 years. Nipeni mbinu za kuwa na Muarusha au Moshi Boys ambaye ni Muislam wapo maeneo gani?
Anataka atuuzie mbuzi kwenye gunia huyu mtuaiseee
Oooh kumbe!! Hawajambo hao waume zenu?Si ndiyo kwenye waume zenu
😂😂😂Short and beautiful.
Una tako?
fanya kuikwafara unazuga muislade, ukishaichukucha ndiyo unaisandisha maukwefeli.Shukrani Dingilii nimekuja chapcheree,,sema Mimi sio miuslade,,Dini imenikosesha mamsi asee,,
Nlicheka sana eti wanaume wa mbeya urefu ni futi 6 afu wana kilo 150 hahahhaha jamaniShikamoo mama
Karibu sana Mbeya