kufanakupona
JF-Expert Member
- Jun 18, 2015
- 522
- 417
Utakuta unaota unaambiwa jambo la maana na mtu unayemfahamu au usiyemfahamu, kabla hajamaliza kukusimulia, mara anatoweka au ndoto inakatika. Pengine ungekuwa nusu macho, hii ndoto isingekatika.
Kwahiyo wakuu, mtu ufanyeje ili unapoota ndoto uwe nusu uko usingizini na nusu uko macho?
Kwahiyo wakuu, mtu ufanyeje ili unapoota ndoto uwe nusu uko usingizini na nusu uko macho?