Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pendelea kula dona, pia kula ufuta uliokaangwa kidogo angalau vijiko viwili vikubwa kila siku usiwe mtu wakukaa ovyo bila kufanya chochote, jishughulishe hata shughuli ndogondogo za hapo nyumbani na fanya mazoezi ya viungo kadri uwezavyo huwa yanaupa ubongo afya na uwezu wa kutunza kumbukumbu. soma vitabu, magazeti na majarida mbalimbali kila siku ila uwe unachagua ambayo yanaelimisha jamii sio ya udaku wala ngono. Kuwa na marafiki ambao wanauwezo mkubwa wa kifikra kuliko wewe ambao wanaweza kukushauri mambo mbalimbali na wewe utaweza kujifunza kutoka kwao.
Nimekua nikisikia kuwa watu waliosoma sana ndio wenye uwezo mkubwa wa kufikiri. Je mimi ambaye nimekomea darasa la saba, nifanyeje ili niboreshe uwezo wangu wa kufikiri ilihali sina uwezo wa kuendelea na masomo zaidi ya hapo?
Hakikisha unapitia kila siku JF jukwaa la Critical thinker na pia jiunge na CHADEMA. Kwa kufanya hivyo baada ya muda tu utaambukizwa uwezo mkubwa wa kufikiri.
Mimi nilijaribu hivyo na nikafanikiwa.
Nimekua nikisikia kuwa watu waliosoma sana ndio wenye uwezo mkubwa wa kufikiri. Je mimi ambaye nimekomea darasa la saba, nifanyeje ili niboreshe uwezo wangu wa kufikiri ilihali sina uwezo wa kuendelea na masomo zaidi ya hapo?
Nimekua nikisikia kuwa watu waliosoma sana ndio wenye uwezo mkubwa wa kufikiri. Je mimi ambaye nimekomea darasa la saba, nifanyeje ili niboreshe uwezo wangu wa kufikiri ilihali sina uwezo wa kuendelea na masomo zaidi ya hapo?
Hakikisha unapitia kila siku JF jukwaa la Critical thinker na pia jiunge na CHADEMA. Kwa kufanya hivyo baada ya muda tu utaambukizwa uwezo mkubwa wa kufikiri.
Mimi nilijaribu hivyo na nikafanikiwa.
asiipende ccm hata kwa kusikia, awe tayari kufa kwa ajili ya cdm, km hana kadi ya cdm akaichukue, nimefanya hivyo na nimefanikiwa!
Hakikisha unapitia kila siku JF jukwaa la Critical thinker na pia jiunge na CHADEMA. Kwa kufanya hivyo baada ya muda tu utaambukizwa uwezo mkubwa wa kufikiri.
Mimi nilijaribu hivyo na nikafanikiwa.
Kweli kula vyakula vya asili sana, ila jitahidi sana kusoma, soma magazeti ya kila aina huku ukichambua kichwani ni vipi ulicho kisoma kiana fanana na jammbo fulani halisi au la kufikirika na ni vipi kila unacho kisoma kina weza kumsaidia au kumbomoa mwanadamu....Pia jitahidi sana kuwa na akili huru usiwe mfungwa wa vitu fulani hasa watu au vitu, kuwa mtumwa wa hoja, falsafa, na tafakari mbalimbali za watu wenye upeo mkubwa Kama JK Nyerere kuwa mtumwa wa baadhi ya falsafa zao sio kushika kifimbo au kuiga sauti yake!
Soma vitabu vingi kadiri uwezevyo
Chukua dictionary pamoja na vitabu vingine vya maarifa mbalimbali ( kama physics , biology , philosophy etc) kulingana na eneo unalotaka kuongeza maarifa. Chukua sufuria kubwa ( kama huna azima) chemsha pamoja dakika tatu then weka mbilimbi au ndimu na tokosa pamoja kwa dakika 15. Kunywa maji yake angalau nusu lita kwa siku muda wa miezi mitatu mpaka minne. Ukitaka kuwa genious kunywa mchnaganyiko huo kwa muda wa mwaka mzima......Mimi nilifanya hivyo sasahivi ni Professor Mlimani............
Pendelea kula dona, pia kula ufuta uliokaangwa kidogo angalau vijiko viwili vikubwa kila siku usiwe mtu wakukaa ovyo bila kufanya chochote, jishughulishe hata shughuli ndogondogo za hapo nyumbani na fanya mazoezi ya viungo kadri uwezavyo huwa yanaupa ubongo afya na uwezu wa kutunza kumbukumbu. soma vitabu, magazeti na majarida mbalimbali kila siku ila uwe unachagua ambayo yanaelimisha jamii sio ya udaku wala ngono. Kuwa na marafiki ambao wanauwezo mkubwa wa kifikra kuliko wewe ambao wanaweza kukushauri mambo mbalimbali na wewe utaweza kujifunza kutoka kwao.