Nifanyeje ili Mimba isiharibike tena?

Pinkish

Member
Mar 8, 2014
11
1
Habari zenu wana jamiiforums.

Kwanza kabisa ningependa kuwashukuru nyote kwa msaada wenu, mimi nina miaka miwili katika ndoa yangu sikupata mtoto lakini nilijaribu kusoma ushauri wenu tofauti tofauti kuhusu jinsi ya kupata mimba, nashukuru nikafanikiwa kupata ujauzito mwaka huu mwezi wa kwanza, lakini haikua riziki yangu ikatoka mwezi 1.

Lakini kwa sasa nina ujauzito tena wa mwezi 1 naomba ushauri wenu je nifanyeje ili yasitokee tena kama ya mwanzo?

Asanteni
 
Mkuu mleta mada jitahidi kujibu hoja/maswali ili wataalam waone namna nzuri ya kukushauri.
Hongera naamini mara hii mambo yatakuwa mazuri sana.

***"""Mungu ni MwemA"""***
 
Mungu Atakulindia mimb yako ujifungue salama.

Je doctors walikupa sababu ya kutoka?
 
Fuata masharti ya Dr... kula vizuri, kutumia vitamins unazotakiwa kuzitumia kwa ujauzito, hakikisha unapata mapumziko ya kutosha na epukana na kununanuna/kukasirika hili linaweza kuongeza blood pressure yako na hivyo kuathiri ujauzito wako. Hongera na kila la heri katika ujauzito wako.
 
Fuata masharti ya Dr... kula vizuri, kutumia vitamins unazotakiwa kuzitumia kwa ujauzito, hakikisha unapata mapumziko ya kutosha na epukana na kununanuna/kukasirika hili linaweza kuongeza blood pressure yako na hivyo kuathiri ujauzito wako. Hongera na kila la heri katika ujauzito wako.

Asante sana nitafata ushauri
 
Habari zenu wana jamiiforums.

Kwanza kabisa ningependa kuwashukuru nyote kwa msaada wenu, mimi nina miaka miwili katika ndoa yangu sikupata mtoto lakini nilijaribu kusoma ushauri wenu tofauti tofauti kuhusu jinsi ya kupata mimba, nashukuru nikafanikiwa kupata ujauzito mwaka huu mwezi wa kwanza, lakini haikua riziki yangu ikatoka mwezi 1.

Lakini kwa sasa nina ujauzito tena wa mwezi 1 naomba ushauri wenu je nifanyeje ili yasitokee tena kama ya mwanzo?

Asanteni

Nenda hospt ya kariuki utapewa vidonge vya kuimarisha ukuta wa uzazi baada ya kupigwa utra sound.wahi hata leo nenda.itakuwa ulichomaga sindano wewe na kama ulichoma ni pm nikupe ushauri wa bure.
 
Nenda kwa daktari wa wanawake umueleze utapata msaada,tena uwahi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom