Mtile
Senior Member
- May 25, 2013
- 126
- 87
Mimi nina mchumba wangu(kike), na tunapendana sana, lakini hivi karibuni amepata kazi huko mbugani serengeti kwenye hoteli fulani ya kitalii na inamlipa vizuri sana.
Ila tatizo lililopo ni kwamba, mimi naishi DSM, na masharti ya kazi yake ni kwamba, atapata likizo kila baada ya miezi sita, ina maana ni mara mbili tu kwa mwaka, na kila likizo ni wiki tatu tu.
SASA Nachanganyikiwa, je mwenzangu ataweza kuvumilia vishawishi wakati wote akiwa huko mbugani(kazini).
Je, uhusiano na mapenzi yetu yatadumu kwa mfumo huu wa maisha.
TAFADHALI wana MMU NISHAURINI....
Ila tatizo lililopo ni kwamba, mimi naishi DSM, na masharti ya kazi yake ni kwamba, atapata likizo kila baada ya miezi sita, ina maana ni mara mbili tu kwa mwaka, na kila likizo ni wiki tatu tu.
SASA Nachanganyikiwa, je mwenzangu ataweza kuvumilia vishawishi wakati wote akiwa huko mbugani(kazini).
Je, uhusiano na mapenzi yetu yatadumu kwa mfumo huu wa maisha.
TAFADHALI wana MMU NISHAURINI....